Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
lol..roja roja unanisoma? enhee..'papa alfa juliet alfa' ndo mwake,, over,
afrmtv....copied that...kuna na 'kilo india uniform november oscar' nadhani utapenda...over and out
lol..roja roja unanisoma? enhee..'papa alfa juliet alfa' ndo mwake,, over,
Dr. twin wangu anaumwa iweje ukashindwa kumsaidia???
zimefika B!!mpe pole B!
afrmtv....copied that...kuna na 'kilo india uniform november oscar' nadhani utapenda...over and out
Alikuandaa kabla ya shuguli? alikuwa msafi? hivi pia huwa vinachangia tukio kama hilo
Pls note: hata mwanaume anaadaliwa kabla ya shuguli.
Kumbe its you guys i saw kissing in that red car lol! the chic is paying if you noo wora amseying! Call her brother, call her, otherwise ndo atakuona si riziki kabsaa.
dah umenikumbusha mbali sana!!afrmtv....copied that...kuna na 'kilo india uniform november oscar' nadhani utapenda...over and out
dah umenikumbusha mbali sana!!
dah umenikumbusha mbali sana!!
Acha tu mkulu patamu hapo!!mkulu si umeonaee..sasa hapo ndo ninatayarishiwa kabisa lol
Thanks'kilo alpha romeo india bravo uniform'
Aiii binamu naona umenichoka umenichoka kabsa nkinki lae??? Ngikukaba nikikuona haki tena............mweee
Utampiga na nini?
msamehe ni mtoto wa mwanamke mwenzio
Cha kushangaza, jogoo alikata, kata kata kuwika.tulijaribu njia zote lakini wapii
Fidel80 mbona pembejeo zilikuwepo (yaani sio moja). Lakini usijali, tumeanza mawasiliano na labda kesho nitapost "Jogoo kawika mjini"
Inaonyesha demu huyo sio mzuri sana au mzee ulifikiria swala la Ukimwi kwakuwa hukuwa na pembejeo mfukoni ukaamua kunywea gafla.
Wewe ulipoteza confidence! Mara woga/hofu ikakutwanga kila sehemu. Ukawa baridi. Next time jiamini kwamba unaweza. Na utaweza!! pole bro.ALikuwa msafi, siwezi kumlaumu kwani kila kitu chake kilikuwa bomba... lazima niseme ukweli tatizo lilikuwa upande wangu
Wewe sio Ngoswe! ndio maana ulishindwa, Ungekuwa Ngoswe usingeshindwa. Lakini kumbuka Ngoma ipo, inawezekana mzee kugoma amekusaidia!.Nilikuwa na rafiki wa kike (sio mpenzi) wa siku nyingi ambaye nilikuwa namtamani lakini niliheshimu urafiki wetu nikanyamaza kwa miaka mingi.
Januari nilikutana naena tukaanza mawasiliano tena. katika mazungumzo nikagundua kuwa hata yeye alikuwa ananipenda na alikuwa aliogopa kusema. Basi tukawa tunakutana kila jioni na kuongea tu.
Jana tulikutana tukawa tunapiga stori maeneo ya coco beach, tukiwa ndani ya gari.
Sijui aligeuka kusema nini, nikampiga busu na tukaanza kupigana mabusu.
Busu baada ya busu, tukajikuta katika hoteli moja, tukiwa uchi.
Cha kushangaza, jogoo alikata, kata kata kuwika.tulijaribu njia zote lakini wapi
Ikabidi nimpeleke kwao bila ya kufanya jambo lolote.
Sasa imefika saa sita hajawasiliana na mimi... nina wasiwasi
Je nimwambie nini?
Ni mara ya kwanza hili limenitokea, je ni jambo la kawaida.
Mwanamke atanielewa ama ndo imetoka?
Naomba ushauri