Joe Biden atangaza Rasmi kugombea Urais 2024, Kamala Harris kuwa Mgombea Mwenza

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,376
8,118
OPED-BARABAK-COLUMN-PH-1675815851.jpg
Rais huyo wa Marekani mwenye miaka 80 ametangaza nia yake leo Aprili 25, 2023 licha ya utafiti ulifanywa na Kituo cha Runinga cha NBC kuonesha 70% ya Wananchi hawataki Biden agombee tena Urais.

Biden ambaye ni Rais Mzee zaidi katika Historia ya Taifa hilo, anatarajia kukutana na upinzani mkali kutoka kwa Rais wa zamani, Donald Trump ambaye ameshatanga nia yake ya kuwania nafasi hiyo kwa mara nyingine licha ya kukabiliwa na kesi za Matumizi Mabaya ya Ofisi na Rushwa ya Ngono.

Rais Joe Biden na Kamala Harris wametia saini na kuwasilisha Makaratasi yao ya kampeni kwa Tume ya Shirikisho ya Uchaguzi ikiwa ni ni hatua rasmi ya kwanza baada ya kutangaza Kugombea nafasi zilizotangazwa katika Serikali ya Shirikisho ya Marekani.

================
  1. US President Joe Biden has announced that he will seek re-election for the presidency in 2024, with Vice-President Kamala Harris again his running mate
  2. Now 80 and already the oldest president in US history, Biden had long signalled he would run for another four-year term
  3. In a video to launch his bid to retain the White House, he cast the next election as a fight for democracy and personal freedom, saying: "Let's finish the job"
  4. But the Republicans called Biden "out of touch" for seeking re-election, claiming US citizens were counting down the days until they can send him "packing"
  5. Donald Trump has already launched his bid, meaning the pair could be set for a rematch of the 2020 election in November next year
  6. With Biden's Democrats performing better than expected in last year's midterm elections, he is unlikely to face much competition from within his own party
  7. But an NBC News poll recently found that 70 percent of Americans, and just over half of Democrats, believe he should not run again
BBC
 

Attachments

  • 1682420090973.gif
    1682420090973.gif
    42 bytes · Views: 5
OPED-BARABAK-COLUMN-PH-1675815851.jpg
Rais huyo wa Marekani mwenye miaka 80 ametangaza nia yake leo Aprili 25, 2023 licha ya utafiti ulifanywa na Kituo cha Runinga cha NBC kuonesha 70% ya Wananchi hawataki Biden agombee tena Urais.

Biden ambaye ni Rais Mzee zaidi katika Historia ya Taifa hilo, anatarajia kukutana na upinzani mkali kutoka kwa Rais wa zamani, Donald Trump ambaye ameshatanga nia yake ya kuwania nafasi hiyo kwa mara nyingine licha ya kukabiliwa na kesi za Matumizi Mabaya ya Ofisi na Rushwa ya Ngono.

Rais Joe Biden na Kamala Harris wametia saini na kuwasilisha Makaratasi yao ya kampeni kwa Tume ya Shirikisho ya Uchaguzi ikiwa ni ni hatua rasmi ya kwanza baada ya kutangaza Kugombea nafasi zilizotangazwa katika Serikali ya Shirikisho ya Marekani.

================
  1. US President Joe Biden has announced that he will seek re-election for the presidency in 2024, with Vice-President Kamala Harris again his running mate
  2. Now 80 and already the oldest president in US history, Biden had long signalled he would run for another four-year term
  3. In a video to launch his bid to retain the White House, he cast the next election as a fight for democracy and personal freedom, saying: "Let's finish the job"
  4. But the Republicans called Biden "out of touch" for seeking re-election, claiming US citizens were counting down the days until they can send him "packing"
  5. Donald Trump has already launched his bid, meaning the pair could be set for a rematch of the 2020 election in November next year
  6. With Biden's Democrats performing better than expected in last year's midterm elections, he is unlikely to face much competition from within his own party
  7. But an NBC News poll recently found that 70 percent of Americans, and just over half of Democrats, believe he should not run again
BBC
Halafu alivyo wa ajabu anamuwekea kaizibe Donald Trump ili hasigombee 2024!!
 
Mambo mengine ungefunga tu mdomo wako kuliko kuaibisha ukoo wenu.
Yoda 'am not a bafoon like you - your uncooth behaviour reminds me of traits of children raised by a single parent.

Ujinga wako huu wa kujibu jibu watu ovyo, wakati mwingine kuwakejeri some members ambao maoni yao ni tofauti na ya kwako - kwani wewe nani hapo? Tabia hizi za kishenzi wafanyie familia yako and people who raised you up - umezoea sana, wewe una moral Authority gani ya kuwasema vibaya members wenzako?
 
Yoda 'am not a bafoon like you - your uncooth behaviour reminds me traits of children raised by a single parent.

Ujinga wako huu wa kujibu jibu watu ovyo wakati mwingine kuwakejeri some members ambao maoni yao ni tofauti na yako kwako - kwani wewe nani hapo? Tabia hizi za kishenzi wafanyie familia yako and people who raised you up - umezoea sana, newe una moral Authority gani ya miwasema vibaya members wenzako.
Mkuu...nakupongeza kwa kumuweka sehemu sahihi huyo jamaa....!!!...anachoandika yy hudhani ni dhahabu ....!!!...watu wanashindwa kuwa wahimilivu na wastaarabu pale wengine wanapotoa mawazo kinzani na wao...!!!

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Yoda 'am not a bafoon like you - your uncooth behaviour reminds me traits of children raised by a single parent.

Ujinga wako huu wa kujibu jibu watu ovyo wakati mwingine kuwakejeri some members ambao maoni yao ni tofauti na yako kwako - kwani wewe nani hapo? Tabia hizi za kishenzi wafanyie familia yako and people who raised you up - umezoea sana, newe una moral Authority gani ya miwasema vibaya members wenzako.
safi sana hizi mbili za uso zinamtosha kwanza.... jaribu kumsikilizia kwanza akijaa tena vizuri mpe ya pua labda atakaa sawa kiakili.
 
Yoda 'am not a bafoon like you - your uncooth behaviour reminds me of traits of children raised by a single parent.

Ujinga wako huu wa kujibu jibu watu ovyo, wakati mwingine kuwakejeri some members ambao maoni yao ni tofauti na ya kwako - kwani wewe nani hapo? Tabia hizi za kishenzi wafanyie familia yako and people who raised you up - umezoea sana, wewe una moral Authority gani ya kuwasema vibaya members wenzako?
Anajiona nae mmarekani nanajua mambo ya Marekani kuliko mtanzania yeyote hatar sana
 
onesha ushahidi wa anavyomuwekea kauzibe kutetea hoja yako.
Kwani kesi chungu mzima wanazo mfungulia D.Trump kwenye utawala huu wa J.Biden - halafu Trump karibu kesi zote anazishinda, wewe unafikiri J.Biden na washauri wake
lengo lao ni nini hasa??

Kama unafikiri vyombo vya Serikali ya J.Biden wanatumia mbinu za kitoto kujaribu kumjengea hoja D.Trump ili hasigombee tena kiti cha Urais in 2024 you better think twice.

Hata asilimia kubwa ya raia wa Amerika wanasema J.Biden hasigombee kiti cha Uraisi kwa mara nyingine tena.
 
Back
Top Bottom