Job searching

Job searching

Sema "sijui vizuri Kiingereza" sio "sijui Kiingereza vizuri" pia sema "Halafu" sio "alafu".

Zaidi ya hayo, umesema vyema na nadhani umeeleweka.

Hapa hatusemi bali tunaandika, kwahiyo hebu rekebisha hilo neno "Sema" na liwe "andika" maana kama tungekuwa tunasema basi sauti zingekuwa zinasikika.

Pia rekebisha hapo kwenye neno Halafu na lisomeke hivi "khalafu"
 
Ukiandika maneno kwa native language wengine hatutaelewa!
"Hemu' so neno LA kiswahili wala kingereza

Muombe sana Mungu akupe ufahamu juu ya matumizi ya herufi ndogo na kubwa, la si hivyo unatuletea kichefuchefu wanaJF wenzako.
 
Muombe sana Mungu akupe ufahamu juu ya matumizi ya herufi ndogo na kubwa, la si hivyo unatuletea kichefuchefu wanaJF wenzako.

Usitumie akili nyingi kuelewa kitu kidogo, dhihirisha IQ yako. Herufi kubwa hapo imetumika kuonyesha msisitizo.
Halafu siku nyingine usome vizuri matumizi ya neno "kuletea" ndipo ulitumie. Nashukuru kwa kunielewa.
 
Hapa hatusemi bali tunaandika, kwahiyo hebu rekebisha hilo neno "Sema" na liwe "andika" maana kama tungekuwa tunasema basi sauti zingekuwa zinasikika.

Pia rekebisha hapo kwenye neno Halafu na lisomeke hivi "khalafu"

Niliandika "sema" kumuamuru aseme huko aliko. Usilazimishe uelewa wako uwe wa jamii yote.

Maneno yote yenye asili ya kiarabu yenye vitamkwa "kh" yaweza andikwa na kutamkwa "h" mfano Hadija "Khadija", Habari "Khabari"

Kasome kwanza Sarufi na historia ya lugha ya Kiswahili ndio uje kukakamaza vidole vyako hapa.
 
ha! ha! ha! mbavu zangu mie kumbe na wakosoaji nao hawajui kazi kukosoa wenzao tu, hii lugha imekuja na meli jamani
 
Hapa hatusemi bali tunaandika, kwahiyo hebu rekebisha hilo neno "Sema" na liwe "andika" maana kama tungekuwa tunasema basi sauti zingekuwa zinasikika.

Pia rekebisha hapo kwenye neno Halafu na lisomeke hivi "khalafu"

Du,mkuu umetisha aisee. Hahahahahhaha
 
Mimi kwa kukusaidia mleta mada,wewe jaribu kusoma kwa bidii umalize kwanza chuo. Punguza wasiwasi wa kupata ajira. Huku mtaani kuna watu wengi kupita kiasi unachofikiria wewe. Ukifika ndo utajua,kwa sasa soma kwanza.
 
Mimi kwa kukusaidia mleta mada,wewe jaribu kusoma kwa bidii umalize kwanza chuo. Punguza wasiwasi wa kupata ajira. Huku mtaani kuna watu wengi kupita kiasi unachofikiria wewe. Ukifika ndo utajua,kwa sasa soma kwanza.

Ila ajitahidi kuongeza uwezo wa kuandika kwa lugha ya Kiingereza. Waajiri wengi wanahitaji barua za maombi ya kazi ziandikwe kwa kiingereza.
 
Ila ajitahidi kuongeza uwezo wa kuandika kwa lugha ya Kiingereza. Waajiri wengi wanahitaji barua za maombi ya kazi ziandikwe kwa kiingereza.

Sure,nina imani atajifunza kitu hapo
 
Jamani hii ni mada ya kujifunza kuandika kiingereza sahii au ni ya kutafuta kazi?
 
Niliandika "sema" kumuamuru aseme huko aliko. Usilazimishe uelewa wako uwe wa jamii yote.

Maneno yote yenye asili ya kiarabu yenye vitamkwa "kh" yaweza andikwa na kutamkwa "h" mfano Hadija "Khadija", Habari "Khabari"

Kasome kwanza Sarufi na historia ya lugha ya Kiswahili ndio uje kukakamaza vidole vyako hapa.

Acha ubishi, mimi nilikuwa sisemi nilikua naandika, na kiswahiri nachotumia ni cha asiri ya kikurya kwa hiyo kabla haujajitolea kumsahihisha mtu ni vyema ukaelewa kwanza anaandika au kuongea kutokea angle ipi.

Sasa tujielekeze kumsaidia mleta bada na swala lake la ajira.
 
Back
Top Bottom