Yusufu yupi huyo? Mbona habari yako inaelea juu juu tu? Fafanua.Samahani mazoea huwa ni mabaya au wakati mwingine huwa ni sheria. Nimezoea kuwaona wote katika shughuli mbalimbali, lakini katika hili kubwa bwana Yusuph anaoa EL hayupo. Kulikoni?
Samahani mazoea huwa ni mabaya au wakati mwingine huwa ni sheria. Nimezoea kuwaona wote katika shughuli mbalimbali, lakini katika hili kubwa bwana Yusuph anaoa EL hayupo. Kulikoni?
Yusufu ndio nani?Samahani mazoea huwa ni mabaya au wakati mwingine huwa ni sheria. Nimezoea kuwaona wote katika shughuli mbalimbali, lakini katika hili kubwa bwana Yusuph anaoa EL hayupo. Kulikoni?
Rais jakaya Kikwete na Makamu wake Dkt Mohammed Gharib Bilal, wakiongozana katika Uwanja vya Ikulu Ndogo Bagamoyo wakati walipofika kuhudhuria sherehe ya ndoa ya mdogo wake na rais Kikwete, Yusuf Kikwete, iliyofungwa leo mchana katika uwanja huo na kuhudhuriwa na mbalimbali pamoja na wake za viongozi.
wanasema ni mdogo wa kikwete mbona kaka ni mzee kuliko kikwete? au mkuu ana 02 room hapo magogoni?
huyu ni mke wa kwanza kweli?
hii habari naona kama ina mapungufu bana huyu jamaa ni mzee sana kusema huyo ni mke wa kwanza
Skils4Ever mbona hausomeki...Kibona yupi?Nani anasota?Tuwaulize nini Tanesco?Ila jamaa ni Mzee duuh...Huyu alikuwa rais wa bagamoyo miaka ya 90 wkt JL akiwa waziri nishati muulize Kibona anajuaa...alihamishwa kwa phone call jamaa anasotaa hadi sasa pale uyole mbeya....kama mnabisha ulizeni tanesco......
Tofautisha Siasa ,chit chat habari mchanganyiko, etc. Sio kwa kuwa JMK ni rais basi kila habari yake ni siasa. Otherwise u re not a great thinkers.
Hii habari yako ilitakiwa kuwa kwenye forum ya urafiki na mahusiano, au chitchat
Skils4Ever mbona hausomeki...Kibona yupi?Nani anasota?Tuwaulize nini Tanesco?Ila jamaa ni Mzee duuh...
wanasema ni mdogo wa kikwete mbona kaka ni mzee kuliko kikwete? au mkuu ana 02 room hapo magogoni?huyu ni mke wa kwanza kweli?hii habari naona kama ina mapungufu bana huyu jamaa ni mzee sana kusema huyo ni mke wa kwanza