Amri Said alikuwa ashaanza kuchoka kidogo na alikuwa anaanzia benchi miaka hiyo.Wapi Amri Said 'Jaap Stam'?
Amri Said alikuwa ashaanza kuchoka kidogo na alikuwa anaanzia benchi miaka hiyo.Wapi Amri Said 'Jaap Stam'?
Mark Sirengo nadhan alicheza msimu wa nyuma yake, maana nakumbuka kipindi hicho wafungaji hatari wa Simba walikuwa ni Emmanuel Gabriel, Athumani Machupa huyu alikuwa mfungaji bora wa mashindano ya vilabu ya CECAFA mwaka 2003 Simba ilipotolewa fainali na Club Sport Villa, Ulimboka Mwakingwe alitisha sana kwenye yale mashindano ya Kagame na alikuwa anakimbiza winga zote lakini mara nyingi alikuwa anatokea kushoto nadhani ndo alikuja kumrithi Mark Sirengo.Naam na Mark Sirengo.
Dak ya 90 hiyo hiyo Toto wamesawazisha
Wametoa droo.Mkuu Masuke tujuze matokeo ya mwisho Kirumba.
Full time: Jkt Ruvu 0-3 Coastal union.