Oya msichamganyikiwe vichwa, tambueni kuna baadhi ya vyuo vilishafungua na watu wapo vyuon kama chuo cha ST AGOSTN tawi la SONGEA, ambao wanahitajika JKT, baada ya kuonekana hilo wale wote waliotakiwa kwenda huko wamesitishwa, watakwenda huko baada ya kumaliza jukumu la chuo mnamo mwaka 2016,