William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
Wakuu hapa tusidanganyane, Rais Kikwete, alinunua media zote na vyombo vyote muhimu vya taifa ikiwa ni pamoja na Usalama wa Taifa chini Mkurugenzi ya mstaafu wa huko, na mwishoni alimnunua mpaka rais Mkapa, aliyetumia madaraka yake kumpitisha kwa nguvu,
Kikwete pia aliwanunua mpaka waalimu wa Mlimani, aliwanunua mpaka baadhi ya wa-Tanzania wenzetu waliokuwepo BBC London, hawa kwa kushirikiana kwa pamoja walituhadaa wananchi wa Tanzania tena bila aibu kuwa wamefanya Polls ambazo zinaonyesha Kikwete tu ndiye anayetakiwa kuwa rais, lakini toka awe rais hatujasikia wakifanya Polls tena kutuambia anything else kuhusu taifa letu, au hata huyo rais alipo na Polls leo.
Umasikini wetu wa-Tanzania na njaaa kubwa tuliyonayo ya kudumu, ndiyo vimetufikisha hapa tulipo na uongozi wa taifa letu wa Ze-Comedy, Ohhh yeah now we are stuck, hata hao waliokuwa wakijikomba kwake Kikwete ili wapate madaraka leo hawana raha tena maana wanajua fikakuwa hawana heshima mbele ya jamii, wananchi hatuwaheshimu kabisaa, leo rais Kikwete aliyekua bingwa wa kukutana na wananchi hata magengeni sasa anawakimbia wananchi wale wale kulikoni?
Kikwete aliyekuwa bingwa wa kukutana na wananchi kwenye kila kona ya US, leo hataki kabisaa na wasaidizi wake ni wakali kama pili pili ukiwatajia hilo la rais kukutana na wananchi, kulikoni? Huyu ndiye aliyewanunua wanamuziki kina Ally Choki na Muumini Munir, kila kukicha kwenye nyimbo zao hawakuisha kumtaja taja kwamba Kikwete ni mtu wa watu, mtu wa watu my fooot! sasa mtu wa watu anakimbia vipi tena hao hao watu ambao zamani alikuwa mtu wao? Au alikuwa anataka madaraka tu sasa hawahitaji tena?
Mheshimiwa Rais Kikwete, umetufikisha mahali ambapo tumejaribu sana kupakwepa kupafikia, na tumejaribu sana kukataa kuwa tupo napo, tumejaribu sana kukutetea kuwa upewe muda, we have done everything kujaribu kukupa nafasi ili urekebishe taifa letu, lakini sasa umefika wakati hatuwezi kukudanganya tena, kwamba kinachoendelea kwenye utawala wako ni aibu kubwa sana kwa kijana kama wewe kutufikisha wananchi kwenye this junction where sasa tunakosa uaminifu na kiongozi yoyote, kuanzia wewe mwenyewe mpaka wanaokuzunguka, simply ni kwamba wote mnanuka rushwa na uwezo mdogo sana wa kuongoza taifa letu.
Haya maneno ya Zuma, they are coming tena soon maana inaonekana huenda wananchi wa taifa hili tukamhitaji shetani Lowassa, ili kukuondoa kwenye kura za huko ndani ya CCM, huwezi kumlaumu mtu yoyote ila ni wewe mwenyewe na tamaa yako ya kusifika na uongozi ambao umeshindwa kuonyesha matendo enough ya kutuaminisha wananchi kwamba una-deserve another term, umeanza kukimbia wananchi huko US na UK, sasa unaanza kuwakimbia wananchi hata wa Mbeya tu? I mean how low can it get na uongozi wako? Maandamano ya Ma-Albino, hukuyajua kabla hujaenda Mbeya kuwa yatakuwepo? Serikali nzima ya Tanzania haiwezi kuwapokea hao ndugu zetu mpaka iwe wewe tu? Toka lini hiyo? Mbona Tabora watoto 19 viongozi wa baadaye wa taifa hili walipokufa mbona hukwenda?
Unajua ndugu zangu wananchi wa Tanzania, kama hatuwezi kuamka sasa tunakwenda down na huu utawala wa Ze-Comedy, ingawa wengine hatushangai sana kwa sababu tulionya mapema kuwa wananchi wa taifa hili we were about to make the worst mistake ever ambayo tutalipia sisi na watoto kwa vizazi vingi vijavyo, na here we are tumepotea!
Mungu Ibariki Tanzania.
Wakuu hapa tusidanganyane, Rais Kikwete, alinunua media zote na vyombo vyote muhimu vya taifa ikiwa ni pamoja na Usalama wa Taifa chini Mkurugenzi ya mstaafu wa huko, na mwishoni alimnunua mpaka rais Mkapa, aliyetumia madaraka yake kumpitisha kwa nguvu,
Kikwete pia aliwanunua mpaka waalimu wa Mlimani, aliwanunua mpaka baadhi ya wa-Tanzania wenzetu waliokuwepo BBC London, hawa kwa kushirikiana kwa pamoja walituhadaa wananchi wa Tanzania tena bila aibu kuwa wamefanya Polls ambazo zinaonyesha Kikwete tu ndiye anayetakiwa kuwa rais, lakini toka awe rais hatujasikia wakifanya Polls tena kutuambia anything else kuhusu taifa letu, au hata huyo rais alipo na Polls leo.
Umasikini wetu wa-Tanzania na njaaa kubwa tuliyonayo ya kudumu, ndiyo vimetufikisha hapa tulipo na uongozi wa taifa letu wa Ze-Comedy, Ohhh yeah now we are stuck, hata hao waliokuwa wakijikomba kwake Kikwete ili wapate madaraka leo hawana raha tena maana wanajua fikakuwa hawana heshima mbele ya jamii, wananchi hatuwaheshimu kabisaa, leo rais Kikwete aliyekua bingwa wa kukutana na wananchi hata magengeni sasa anawakimbia wananchi wale wale kulikoni?
Kikwete aliyekuwa bingwa wa kukutana na wananchi kwenye kila kona ya US, leo hataki kabisaa na wasaidizi wake ni wakali kama pili pili ukiwatajia hilo la rais kukutana na wananchi, kulikoni? Huyu ndiye aliyewanunua wanamuziki kina Ally Choki na Muumini Munir, kila kukicha kwenye nyimbo zao hawakuisha kumtaja taja kwamba Kikwete ni mtu wa watu, mtu wa watu my fooot! sasa mtu wa watu anakimbia vipi tena hao hao watu ambao zamani alikuwa mtu wao? Au alikuwa anataka madaraka tu sasa hawahitaji tena?
Mheshimiwa Rais Kikwete, umetufikisha mahali ambapo tumejaribu sana kupakwepa kupafikia, na tumejaribu sana kukataa kuwa tupo napo, tumejaribu sana kukutetea kuwa upewe muda, we have done everything kujaribu kukupa nafasi ili urekebishe taifa letu, lakini sasa umefika wakati hatuwezi kukudanganya tena, kwamba kinachoendelea kwenye utawala wako ni aibu kubwa sana kwa kijana kama wewe kutufikisha wananchi kwenye this junction where sasa tunakosa uaminifu na kiongozi yoyote, kuanzia wewe mwenyewe mpaka wanaokuzunguka, simply ni kwamba wote mnanuka rushwa na uwezo mdogo sana wa kuongoza taifa letu.
Haya maneno ya Zuma, they are coming tena soon maana inaonekana huenda wananchi wa taifa hili tukamhitaji shetani Lowassa, ili kukuondoa kwenye kura za huko ndani ya CCM, huwezi kumlaumu mtu yoyote ila ni wewe mwenyewe na tamaa yako ya kusifika na uongozi ambao umeshindwa kuonyesha matendo enough ya kutuaminisha wananchi kwamba una-deserve another term, umeanza kukimbia wananchi huko US na UK, sasa unaanza kuwakimbia wananchi hata wa Mbeya tu? I mean how low can it get na uongozi wako? Maandamano ya Ma-Albino, hukuyajua kabla hujaenda Mbeya kuwa yatakuwepo? Serikali nzima ya Tanzania haiwezi kuwapokea hao ndugu zetu mpaka iwe wewe tu? Toka lini hiyo? Mbona Tabora watoto 19 viongozi wa baadaye wa taifa hili walipokufa mbona hukwenda?
Unajua ndugu zangu wananchi wa Tanzania, kama hatuwezi kuamka sasa tunakwenda down na huu utawala wa Ze-Comedy, ingawa wengine hatushangai sana kwa sababu tulionya mapema kuwa wananchi wa taifa hili we were about to make the worst mistake ever ambayo tutalipia sisi na watoto kwa vizazi vingi vijavyo, na here we are tumepotea!
Mungu Ibariki Tanzania.
Jamani mpeni prezidaa wetu muda kidogo, he has been vere busy making crucial decisions so far, like deciding to change the motor blocade from mercedes benz to BMWs and X5's, or what suit to wear with chris Tucker and Boyz II Men appearances... He will soon come around.
Ampe nani Nchi...?
Starting with an end in mind...good question Chuma.
Wadau,mbona swali halijibiwi?
I would take a crack at this ila,sina wa kumpendekeza.
apewe mwandosya.....
Hivi wewe ndugu yangu bado unadanganyika na propaganda za kina Kingunge na Makamba eti mpaka sasa bado una matumaini ya Rais kupewa muda ndipo atawachukulia hatua wezi wa epa,
Hapana. Mwanzo wake JK haukuwa kama wa Obama. Obama unajua anasimama wapi. JK aliwalaghai Watanzania kwa lugha rahisi rahisi ya maisha bora kwa kila Mtanzania kwa kasi mpya ari mpya etc.
Ndugu zangu,
Katika hili suala naomba kuwaomba mkubali ukweli kwamba watanzania wote tunapaswa kubeba lawama na wala si Jakaya pekee yake.
Jakaya alipokuwa anaomba kura ama ridhaa ya watanzania kwenda Ikulu tuliona na kusikia wazi mapesa yakimwagwa kama njugu kila kona ya Tanzania.
Jakaya amekuwa mtumishi wa serikali kwa muda mrefu na wala hajawahi kuwa mfanyabiashara mashuhuri, sasa kwanini tusijiulize mapema wakati wa kampeni za uchaguzi kwamba huyu Jakaya anapata wapi mapesa ya kumwaga kama njugu?. Jakaya alinunua kura zetu kwa maana kwamba tuliuza haki zetu kimsingi na kwa sasa hatuna haki tena ya kumuuliza anafanyia nini kura zetu alizonunua. Je na yeye akianza kuwauliza watanzania mlifanyia nini mapesa aliyowapa wakati wa kampeni mtamjibu nini?.
Hapa napenda kuwaeleza kwamba tuwe makini sana katika kuchambua, kupendekeza na kuchagua viongozi wa ngazi za juu. Tusibabaike na sauti nzuri, wala ahadi tamutamu, wala sura, wala pesa, wala kujuana.
Yanayotea katika uongozi wa Tanzania kwa sasa ni lawama zinatuhusu watanzania wote. Kama kweli tumechoka na kuelewa makosa yetu basi tuige mfano wa wana Tarime na Mbeya ili 2010 uwe ndiyo mwisho wa Chama Cha Mafisadi kutawala Tanzania.
Tuangalie pande zote za shilingi positively na negatively kama tunataka kujenga.
Siku njema wakuu