JK sasa fanya hivi!!

It's a good advice and all points can be put into consideration. Ni vizuri muda mwingine kushauri na sio kuleta ushabiki wa kisiasa muda wote. Naimani kama sio yeye au watu wake wakaribu wanapita humu na watayawakilisha kwa Rais.
 

"Hatuna marafiki wa kudumu wala maadui wa kudumu", G. W. Bush. We vipi bwana unadiliki kumuita rafiki mtu anayegeuka kama kinyonga?! Mtu ambaye mkianza kupigana atauza silaha pande zote mbili na kuchochea mpigane zaidi ili avune hadi vitu vyako vyote vya ndani! Unawategemea watu ambao mkianza kupigana wao wanakaa kikao kujadili nani achukue nini ndani mwako wanakubaliana na kukomba kila chako. Nakumbuka kauli moja kwenye movie flani inayohusu hali ilivyo Liberia "While they are busy killing each other, we got busy making money out of it"
 
Mayenga, Bila shaka hili bandiko lako litabaki kuwa miongoni mwa mabandiko bora kabisa na ushauri bora kabisa wa kufanyiwa kazi. Lakini kuna watu watakuja kupotosha hapa, mpaka utashangaa wanatumia ubongo gani kufikiria kabla hawajaandika.
 
Obama atamponza sana JK... Wananchi inabidi tuelewe kuwa ukubwa wa nchi yetu haimaanishi kuwa sisi tunajua vita sana kuliko wengine!

Naona dalili za kuibiwa rasilimali zetu na wajanja! Wanatujaza kiburi cha kijinga, tuingie vitani ili wao wakwapue!

 
Una mawazo mazuri sana mpendwa katika kristo but kwa Tanzania.... inawezekana....... ila ni kiongozi aliyejitoa kwa dhamira ya kuikomboa nchi yake na wananchi wake ndio anaweza kufanya haya.
 

Hakuna mtu anatafuta umaarufu kwa kukebei vyombo vya ulinzi. Ikitokea nyumbani kwako ukamuajiri mlinzi, alafu mlinzi huyo akawa anachora mipango uibiwe, utaendelea kumuajiri au?
Serikali imeajiriwa na wananchi (hata kama ni kwa mlango usioruhusiwa) na serikali hiyo ndo msimmizi mkuu wa vyombo vya dola, vyombo hivyo badala ya kulinda raia na mali zao (polisi) - vimegeuka kuwa magenge ya waporaji, majangiri, majabazi, watekaji nk, - wakisemwa ili wajirekebishe wanaibuka watu wa kuwatetea (kama wewe thatha aka Chacha) eti ni kebei, WACHA MARA MOJA KUPINDISHA UKWELI, Majuzi tu askali magereza wamebambwa kwa tuhuma za ujangiri, wakisemwa ni kebei hizo?
 
KWA UHUSIANO ULIOPO KATI YA RAIA WA KAWAIDA NA JESHI LETU LA WANANCHI(JWTZ) NI DHAHILI KABISA KWAMBA UWEZEKANO WA KUPIGWA JWTZ NI MKUBWA SABABU ikitokea vita hata leo wananzengo watakuwa upande wa ADUI.Tukio walilo lifanya kule MTWARA limewavunjia heshima(JWTZ) kwa kiwango cha juu mno.Hawatakuwa na pa kujifichia, siri zote za minendo yao wakati wa vita zitakuwa wazi mno kwa ADUI.
 

Tuombe Mungu awafungue masikio na wasikie.
 
MWANAMKE ALIBAKWA NA KUPASULIWA TUMBO KWA RISAS(sio movie ni kweli) KULE MTWARA, WATU WANACHOMEWA NYUMBA, WANAPIGWA N.K ET VITA ITOKEE AMWAMBIE JAMAA ALIYEMUUA MKEWE ADUI KAPITA HAPA,ITAKUWA MAAJABU,LEO HATA MTU ASIKIE KUNA NJAMA YA KUVAMIA KITUO NANI ATAENDA TOA TAARIFA? KAMA UKIENDA TU KESI INAKUGEUKIA AU WANAKUTAJA KUWA UMEVUJISHA SIRI KWAN WAKUBWA WANAHUSIKA.HV MNADHAN HAKUNA ALIYEJUA KABLA KUWA POLIS CENTRE MWANZA KUNA UHALIFU UTATOKEA? WALIJUA NA WENGINE NI ASKAR BUT UZALENDO UKATUPWA KWAN WANAFAMILIA MASKIN ZINAWATEGEMEA.
 

Hii ni hatari sana Mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…