TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
You get what you choose........ndivyo maisha yalivyo
Hivi mara ya mwisho kwa JK kwenda UDSM ilikuwa mwaka gani vile? Alishakuwa president?
Mara ya mwisho kama sikosei ilikuwa 2006 au 2007 wakati alipokuja kuzindua Chuo cha Injinia na Technolojia cha Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam (CoET). Nakumbuka kindipi hicho JK alikuwa bado kwenye fomu. Yani wanafunzi walikuwa wamejipanga kuanzia geti maji hadi ndani ya kiwanja kidogo cha CoET ambapo uzinduzi wa Chuo kishiriki ulikuwa unafanyika. Kila alipopita umati wa wanafunzi walikuwa wanamshangilia na kuimba JK, JK, JK, JK. Nakumbuka sana siku ile. Leo hii kama amefika na kuzomewa inabidi atafakari sana, Je akistaafu atafanywaje??.