Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Gazeti la Mwananchi la leo linatufahamisha ya kuwa utafiti wa jarida moja la Uingereza limebaini ya kuwa JK hana namna ila kulipangua Baraza la Mawziri na kuwapatia Mama Tibaijuka na Mzee Sitta wizara nyeti.................................
Kwa lugha nyingine Mzee wetu Sitta na Mama Anne Tibaijuka watabiriwa mema............hivi karibuni.............................
Kwa lugha nyingine Mzee wetu Sitta na Mama Anne Tibaijuka watabiriwa mema............hivi karibuni.............................