JK kumuokoa Jairo na Luhanjo?

Who cares kama JK kawaomba wawe wamoja kwenye hiyo sakata ya Jaro na Luhanjo.......wenyewe wawe wamoja pamoja na dola yao lakini NGUVU ya UMMA always PREVAILS. Kama ni kweli JK kawaagiza wabunge Magamba kuwa kitu kimoja, hapo atakuwa anamwaga petroli kwenye moto.
 
Hilo nalo neeno. Km ni kweli lakini. Na km kweli ametoka alikotoka kuja kuwatetea wahalifu.
Nkosa cha kuongea, lets wait
 

@timbilimu, nakubaliana na wewe kwamba issue kubwa ni katiba. Lakini hebu tutafakari vizuri, kama Rais anafanya juu chini ili wezi (EPA) na watoa hongo kwa chombo cha kutunga sheria ili wapindishe mambo (Jairo) iweje leo CCM wanataka tumkabidhi rais huyu huyu mamlaka ya kusimamia mkachakato wote wa katiba kuanzia kuteua wajumbe, hadi kupitisha mapendekezo? Ana uadilifu gani mpaka tumpe hilo jukumu?

Kesho inaweza kuwa siku nzuri sana maana Spika Makinda atakuja amejiandaa (well ameandaliwa) kufunika kombe mwanaharamu apite. Shida JF iko macho, watanzania watajua yote!
 

Mkuu Manyanyaso, tafadhali nakuomba umpe heshima kuu Raisi wetu. Usiandike Raisi JK.
Tafadhali anza sentensi kwa kuandika: Raisi Dr Dr Dr Dr JK. ​Tunza heshima ya mkuu wa Tanzania.
 
Kamati ya Bunge ilioundwa kuchunguza tuhuma za rushwa katika sekta ya nishati na madini inayo mkabili bwana Jairo imesha wasilishwa mezani kwa spika.sasa hivi bado wanaendelea na maswali na majibu.mia
 
Mkuu Manyanyaso, tafadhali nakuomba umpe heshima kuu Raisi wetu. Usiandike Raisi JK.
Tafadhali anza sentensi kwa kuandika: Raisi Dr Dr Dr Dr JK. ?Tunza heshima ya mkuu wa Tanzania.

Hizo PhD za kishemeji mimi sizitambui, ninatambua PhD kama yangu niliyikalia darasani na kufanyia utafiti. Hizo PhD za kupeana ili usipotezewe ugali mimi zizitambui hata kidogo. Mnadhalilisha Dr. Magufuli.
 
Bunge baada ya maswali na majibu linaendelea na mswaad wa katiba.mwanasheria mkuu anajibu hoja.
 
acha hizo tuache kushughulikia wapuuz kama hao eti kisa katiba .vyote hivi vinaenda kwa wakati mmoja uzembe wanaoufanya una madhara makubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…