Ndugu zangu tusiangaike na issues ndogo kama za Jairo na Luhanjo jambo muhimu wakati huu ni mchakato wa kuandika katiba mpya. Hii mambo ya Jairo ni ndogo sana,kwanza Pinda na Jk wangekua makini wangekwisha maliza hii maneno ya Jairo siku nyingi. Nchi yetu ni ya ajabu sana,bunge linashupalia issue ndogo kama ya Jairo wanashindwa kushupalia jambo nyeti kama mchakato wa katiba mpya ambao kama tunapata katiba nzuri kesi za akina Jairo tutazipunguza sana.