Nimekuwa nikisoma baadhi ya post za wadau, kuna baadhi ya watu wanadai hivi sasa JK yupo Mwanza pia kuna baadhi ya watu wanadai ati yupo Zanzibar, naomba usahihi juu ya hilo
Nimekuwa nikisoma baadhi ya post za wadau, kuna baadhi ya watu wanadai hivi sasa JK yupo Mwanza pia kuna baadhi ya watu wanadai ati yupo Zanzibar, naomba usahihi juu ya hilo
Kiuhakika yupo Zanzibar unajua uchaguzi wote wa Tanzania sehemu ambayo ni active ni Zanzibar ,uchaguzi unaweza kuharibika popote pale lakini ukiharibika na kuaanza mzozo huko visiwani basi ujue moto wake kuuzima ni shida sana ,na utaharibu kila kitu na itatapakaa dunia nzima within a second ,sio mchezo na sasa watu wanashereheka kwa nguvu na sauti na tayari wameshaleta ngoma hapo bwawani ni kukesha tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.