Magezi wewe ndio mwenye matatizo ya kujipendekeza kwa Mkulu. Viongozi wetu akiwemo Jakaya ndio malimbukeni kwani wanadhani wakihutubia au kujibu maswali kwa lugha zao wataonenekna hawajasoma, unfortunately wakizungumza hiyo lugha ya malkia ndio wanaonyesha ukihiyo wao.Viongozi wetu tatizo lao ni lack of confidence mbona wenzao wanaume wa shoka kama Chavez na Gadaffi wanatumia lugha za kwao wanapohutubia!!