Dunia imekuwa kijiji kidogo sio lazima ukae Tandahimba kufahamu kinachotokea Tandahimba.
Ni kweli dunia imekuwa kijiji kidogo, lakini kwa nini basi raisi wetu asitumie fursa hii kubaki nchini na kushughulikia matatizo lukuki yanayoikabili nchi yetu huku akiwa hapahapa Tanzania na badala yake ameamua kuwa ombaomba. Hivi kweli ni muhimu kwa raisi wetu kuhudhuria kila mkutano wa nje, wakati kuna wasaidizi kibao. Mbona marais wa nchi nyingine sio watembezi? au ndio tuseme rais wetu ana hobby ya kupenda kutembea!