OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
Ni kwa nini uni-limit kumlinganisha na others especilly wa Chadema? why not beyond?
paragraph 2 na ya kwanza zote zinategemeana,tatizo uliposoma ya kwanza ulilipuka kwa mhemko na ulipoona paragraph ya pili ikakufariji.Pole sana mkuu,na sio wewe mwenyewe kuna wengine wengi tu utawaona hapa......
Ben
1. Rais ni institution na ndo maana kuna walinzi 24/7 wewe unam-reffer kama Kikwete ila hapa tunadiscuss kama Rais na Mwenyekiti so kwako hii ni personal issue kwetu ni National Echo
2. Context matters a lot on the weight of content delivered
3. Hatupo kwenye kujenga imani tena zama hizi......tunahitaji uwezo na ari ya kutenda ndani ya muda tarajiwa ambayo with age kwa mtu competent tunapata a good result....thus unapata age as in experience not digits mind you.......na kwa mchango wako hapa unaonekana kabisa when you grow up utachangia vema zaidi
4. Watu tuna feel insecured leo because we want to be secured in future.....it is sequential....not haphazard
KukutiaOle.....hope you r not using OLE mistakenly............Siddai
Pamoja sana
Hatutaki wazee kama kina Sitta na Mwandosya tunataka vijana kama kina Lowassa.
Kipimo cha kukua ni kusoma between the Lines....
Nimemua-dress kama JK? Do you have the termerity to accuse me? Ni kama tu wewe ulivyoanza kuchangia kwa mbwembwe mjadala ambao umeanzishwa ukimu-adress Rais kama JK(refer the heading of the thread above).Nashangaa Unanilaumu mimi kwa kumua-adress kama kikwete
Now, check the post and pay close attention to the arguinments I highlighted.
Nyerere alipokuwa Rais akiwa Below 40 unaliongeleaje?Ubaguzi tayari uliltwa na waliotunga katiba iliyochora mstari unaosema above 40...! vipi kuhusu wawakilishi tulio nao bungeni ambao ni below 30?kuna mtu anaweza kuja na facts za perfomamnce ya Dr. Salim Ahmed Salim alipokuwa balozi wetu nje (mwakilishi wa rais nje ya nchi) wakati akiwa na umri below 25?
Katiba hii tuliyo nayo inaweza kutupa hata kiongozi ambaye ni below 40. je mhimili wa dola kama Bunge na mahakama katiba inawazungumziaje viongozi wa mihimili hii?kuna kigezo cha umri wa mtu atakayekuwa spika apart from umri wa kuwa mbunge?Je Jaji mkuu kama kiongozi wa mahakama? je.Head of missions abroad?
At least we can start by asking ourselves what does it take to be an efficient and effective leader? In addition to the personal natural abilities to lead, one may not shrug off the component of experience as an important ingredient necessary to make a competent leader. Undeniably, experience always accrues with person's exposure to his territory (in this case politics) and that involves spending enough time on that particular field. It's appealing thing to see enthusiastic young men expressing their zeal for presidency but they should bear in mind that there is no substitution for the phrase 'adequate experience' when it comes to holding and running such a high public post like presidency.
Hapo mkuu usichanganye maelezo ya Rais na wakina zitto na january!!!!, Hivi mzee ni kuanzia umri upi?? Kikwete at 55 aliitwa kijana walitumia kigezo gani?? Ubaguzi niliouzungumzia ni kati ya wazee na vijana ambao Rais kaongelea. Kuhusu maelezo ya zitto na january ni kwamba wana tamaa ya madaraka. Hakuna aliye ongea kwa kuitakia mema Tanzania ni ubinafsi wao tu. Walio panga 40 years hawakukurupuka. Na kama tunataka kubadilisha sio mbaya iwapo utafiti wa kina utafanyika tusikurupuke na kuongea majukwaani. Na kama unamawazo toa sababu nzuri kwanini unataka 35yrs. sio kuongea tu. Na iwapo itapita isiwe ndio kigezo hata kama mgombea mwenye umri wa miaka 35 hana uwezo awe rais. Na usitolee mifano ya Nyerere au Gaddaffi naona ni tofauti.
Unajua maana ya ceteri peribus? unajua maana ya if all other factors remain constant? between me and you who is an intellectual dwarf here? Jenga tabia ya kusoma usikurupuke tu....Unaathiriwa sana na group thinking!
Unajua usiwe unaongea tu, kuna vitu vya kujaribisha na vingine sio. Ngazi ya urais unaichukuliaje wewe? Kwa ulivyosema kuna kazi zingine sawa lakini kwa kazi mbazo ni sensitive sikubaliani na wewe kabisa. Na tukifanya mchezo katika uchaguzi wa rais tutajiingiza kwenye matatizo yasiyo weza kupta jibu.
Huu ndo ule ule ninaouita ulofa (sorry though) we are not discussing jinsi wewe ulivyomu - address manake si wewe uliyeleta hoja hapa aliyeta hoja ni Nteko Vano kupita gazeti tajwa hapo juu sasa wewe unataka kubaka hoja wa watu ama kubadiisha na kutaka kujadiliwa utakavyo wewe kwa mantiki ipi??? Huna locus standai unless uanzisha yako nayo utakayotaka ijadiliwe utakavyo unadhihirisha kuwa hata hicho KIPIMO CHA KUKUA
unachozungumzia hunacho.
Halafu pili acha uvivu there are people inhere who are guided by the content, theme as well as facts and to them heading is immaterial or rather a catalyst! We umeona gazeti limeandikwa Rais abaka basi una conclude atakauwa Rais tu kama cheo kilivyo bila kujua hata taasisi zina Marais.
Mwisho mwandishi wa gazeti anasema from the very first paragraph "Raisi Jakaya Mrisho Kikwete amesema wanaotaka Uraisi wakiwa na umri kama wake, wasahu" ni kwa mujibu wa gazeti la Tanzania Daima mwandishi katanguliza neno Raisi na si Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete sasa kama hivyo ndivyo we are within the context of a President being an Institution na si Kikwete kama Kikwete........... This is just a wake up call
Huu ndo ule ule ninaouita ulofa (sorry though) we are not discussing jinsi wewe ulivyomu - address manake si wewe uliyeleta hoja hapa aliyeta hoja ni Nteko Vano kupita gazeti tajwa hapo juu sasa wewe unataka kubaka hoja wa watu ama kubadiisha na kutaka kujadiliwa utakavyo wewe kwa mantiki ipi??? Huna locus standai unless uanzisha yako nayo utakayotaka ijadiliwe utakavyo unadhihirisha kuwa hata hicho KIPIMO CHA KUKUA unachozungumzia hunacho.
Halafu pili acha uvivu there are people inhere who are guided by the content, theme as well as facts and to them heading is immaterial or rather a catalyst! We umeona gazeti limeandikwa Rais abaka basi una conclude atakauwa Rais tu kama cheo kilivyo bila kujua hata taasisi zina Marais.
Mwisho mwandishi wa gazeti anasema from the very first paragraph "Raisi Jakaya Mrisho Kikwete amesema wanaotaka Uraisi wakiwa na umri kama wake, wasahu" ni kwa mujibu wa gazeti la Tanzania Daima mwandishi katanguliza neno Raisi na si Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete sasa kama hivyo ndivyo we are within the context of a President being an Institution na si Kikwete kama Kikwete........... This is just a wake up call
Hatutaki wazee kama kina Sitta na Mwandosya tunataka vijana kama kina Lowassa.
Well,ni nini tofauti ya hili na hoja ya Nyerere na Ghadaffi?
Ok,waliopanga 40 years hawakukurupuka! So unamaanisha pia waliotunga hii katiba iliyopo hawakukurupuka?