POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,400
Wakuu!
JK leo katika sherehe ya wafanyakazi duniani ( mei Moi) mjini morogoro. Rais amekana
kauli mbiu ya wafanyakazi inayosema " Serikali isipojali maslahi ya wafanyakazi tunakuwa watumwa ndani ya nchi yetu" na kusema hakuna mfanyakazi atakae kuwa MTUMWA ndani ya Tanzania. akimaanisha atatatua matatizo ya wafanyakazi nchini.
JK leo katika sherehe ya wafanyakazi duniani ( mei Moi) mjini morogoro. Rais amekana
kauli mbiu ya wafanyakazi inayosema " Serikali isipojali maslahi ya wafanyakazi tunakuwa watumwa ndani ya nchi yetu" na kusema hakuna mfanyakazi atakae kuwa MTUMWA ndani ya Tanzania. akimaanisha atatatua matatizo ya wafanyakazi nchini.