JK for Mtwara

JK for Mtwara

Kassim Awadh

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2012
Posts
884
Reaction score
187
JK anatembelea Mtwara (tamka "Ntwara") nn dhima ya safari/ziara yake hii? ni kuweka sawa mambo ya gesi? ktk moja ya bango la waandamanaji that time kulikuwa na ujumbe mzito "gesi ni ya wana mtwara c bagamoyo", Nini hasa lengo la safari yake hii this time?
 
umeshawi kusikia sultani akikaa ofisini?
 
Upepo umetulia.
Hata ze bigshow haleti mada zake tena.
 
Last edited by a moderator:
Upepo umetulia.
Hata ze bigshow haleti mada zake tena.

Upepo haujatulia, Umetulizwa tuliwaeleza hili la Gesi ni mlipuko tu litapita watu wakajifanya kubisha,Jakaya anawajua wa Tz anajua strength na weaknes yao, Tafuteni lingine maana ujenzi wa Bomba kama kawa unaendelea na wana Mtwara wanatoa ushirikiano kama kawa,Zile fujo ni za wana Tandahimba ngome ya Kaf wengine ni watiifu kwa serikali yao Tiifu ya Ndugu Jakaya,Hata vurugu za Newala na Tandahimba zilifanywa na hao mamluki.Sasa Jakaya anaenda kuwashughulikia wapishi wa Propaganda walodanganya kuwa Bomba linaenda msoga wakati wote wanafahamu Kinyerezi ipo Dsm wilaya ya Ilala na ndo destination ya Bomba!
 
Last edited by a moderator:
hivi huyu jamaa anatuliaga ofisini kweli?

Watanzania tusiwe wajinga mpaka tunapitiliza. Asipoenda, mnakuwa wa kwanza kulalamika kuwa Kusini imetelekezwa. Akienda mnahoji kipumbavu anafuata nini.

Rais kutembelea mkoa nao ni uzururaji?
 
Kweli Ccm ni janga

Haya nayo eti ni maoni ya mtu!!

Naichukia CCM kupita maelezo, lkn namna ya resistance tunayotoa sometimes tunaonekana wote wapumbavu na CCM inafurahi kuona kuwa inapingwa na wapuuzi badala ya watu wenye akili. Hapa ndio nachoka, tuna safari ndefu kwa kweli
 
Watanzania tusiwe wajinga mpaka tunapitiliza. Asipoenda, mnakuwa wa kwanza kulalamika kuwa Kusini imetelekezwa. Akienda mnahoji kipumbavu anafuata nini.

Rais kutembelea mkoa nao ni uzururaji?
wakati hakuna gesi alikuwa haonekani kule...mzee wa dili huyu
 
Upepo umetulia.
Hata ze bigshow haleti mada zake tena.

kama kawaida ya wabongo huwa tunavamia matukio kwa fujo lakini baada ya muda tunasahau kila kitu na kusonga nyuma kimaendeleo.nawahurumia waliopoteza ndugu zao,walijitolea uhai wao kwa mabongolala ya Tanganyika.kesho watakufa wengine na tutaendelea kusahau as hawatuhusu na tunawatumia kujiongezea credit.
 
Last edited by a moderator:
kazi ipo akienda Arusha kila mtu raha ila akisema aende Mtwara au Pwani imekuwa nongwa.Acheni kubaguana nchi ni yenu wote na rais ni wa wote sio baadhi ya watu
 
Si nimesoma mahali hapa JF mtoa fedha anakuja kuangalia progress ya mradi wake aliopewa kama sehemu ya gharama za kumkomboa kijana wetu asitiwe kitanzi.
 
Back
Top Bottom