Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,172
Wakuu nimeshtushwa kidogo na huu mradi uliopewa jina kama Daraja la JK . Kinachonishtua ni gharama ya mradi huo
Bofya hapa kwa habari zaidi: Kikwete Ndoto yangu imetimia
My Take:
1. Huu ni mradi safi kabisa na utafungua milango ya kiuchumi katika eneo hilo la Tanzania ambayo mingi imekuwa untaped for ages.
2. Gogoro ipo kwenye hiyo bei, Tshs Bilioni 805 (Shillingi bilioni mia nane na tano) ni sawa na USD 503,125,000 sawa na Dola za kimarekani nusu bilioni na ushehe kwa exchange rate ya 1USD = Tshs 1600/= na hii ni kwa urefu wa 200m (mita mia mbili tu). Pamoja na kwamba mradi huo utajumuisha ujenzi wa barabara km48 na mambo mengine madogo madogo. bado naona bei ni kubwa mno unless waandishi wa habari leo wamekosea hiyo figure. Wote tunakumbuka habari ya daraja la China lenye urefu wa KM42 juu ya bahari (maelezo na picha hapo chini. Thamani yake ikiwa USD 1.5 Billion. Can some one convince me kwamba huo mradi wa daraja la JK thamani yake ni 1/3 ya daraja refu kuliko yote duniani??????
3. Kama bei hiyo ya Tshs Bilioni 805 ni halali, huu si uthibitisho wa muendelezo wa ufisadi na JK kudanganywa?
Nawakilisha!
(Picha zote na AP na Reuters)
Bofya hapa kwa habari zaidi: Kikwete Ndoto yangu imetimia
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa ametimiza ndoto yake aliyoingia nayo Ikulu mwaka 2005 kuhusu kuanza kwa ujenzi wa daraja la Mto Malagarasi ambalo lilikuwa kero kubwa kwa wananchi wa mkoa Kigoma kwa muda mrefu.
Kikwete alisema hayo jana wakati akiweka jiwe la msingi la uzinduzi rasmi wa ujenzi wa daraja hilo linalojengwa kwa mkopo nafuu kutoka Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Korea, ambapo kiasi cha Sh bilioni 805 kinatarajiwa kutumika kwa utekelezaji wa mradi huo ikijumlisha kilometa 48 za barabara kwa kiwango cha lami.
My Take:
1. Huu ni mradi safi kabisa na utafungua milango ya kiuchumi katika eneo hilo la Tanzania ambayo mingi imekuwa untaped for ages.
2. Gogoro ipo kwenye hiyo bei, Tshs Bilioni 805 (Shillingi bilioni mia nane na tano) ni sawa na USD 503,125,000 sawa na Dola za kimarekani nusu bilioni na ushehe kwa exchange rate ya 1USD = Tshs 1600/= na hii ni kwa urefu wa 200m (mita mia mbili tu). Pamoja na kwamba mradi huo utajumuisha ujenzi wa barabara km48 na mambo mengine madogo madogo. bado naona bei ni kubwa mno unless waandishi wa habari leo wamekosea hiyo figure. Wote tunakumbuka habari ya daraja la China lenye urefu wa KM42 juu ya bahari (maelezo na picha hapo chini. Thamani yake ikiwa USD 1.5 Billion. Can some one convince me kwamba huo mradi wa daraja la JK thamani yake ni 1/3 ya daraja refu kuliko yote duniani??????
3. Kama bei hiyo ya Tshs Bilioni 805 ni halali, huu si uthibitisho wa muendelezo wa ufisadi na JK kudanganywa?
Nawakilisha!
Daraja la Qingdao Jiazhou lina urefu wa kilometa 42 (sawa na umbali wa mbio za marathoni) kama mile 26 hivi.
Daraja hilil la China la kisasa kama picha zinavyoonesha limejengwa kwa gharama ya dola bilioni 1.5 (karibu na shilingi za Kitanzania Trilioni 2 na ushee). Daraja hili lilianza kujengwa mwaka 2006 na limekamilika mwaka 2011 kama ilivyotarajiwa.
(Picha zote na AP na Reuters)