emmanuel1976
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 301
- 79
Kwa wale wasiojua, hizo shilingi bilioni 850 zinaweza jenga barabara nyingine ya lami kutoka Dar hadi Shinyanga. Hesabu hii itakuwa imekosewa na mtoa mada. Na kama ni kweli basi sasa tunaibiana kwa lazima!!!????