JK bado anajijengea jina?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Inafikia wakati simuelewi Rais wangu Kikwete.Hawawajibishi watendaji wakosaji serikalini mwake.Anafuga ubovu.Ubovu huzaa mbovu.Eti,anawastaafisha t au kuwahamisha vitengo tu.Chukua mfano wa Mwanyika,Hosea,Jairo,Luhanjo na sasa Ikerege(Mkurugenzi Mkuu wa TBS).

Hivi,Rais wangu Kikwete anasita kwanini? Bado analinda jina lake lisichafuke ili agombee uongozi mahali fulani? Anaogopa kwakuwa vyombo vya usalama havimhakikishii ulinzi?
 
Alituambia miaka mitano ya kwanza alikuwa anajifunza hii mitano ana practice ataanza kazi rasmi 2015, tumpe muda jamani.
 
Binadamu ana viungo vitano vya fahamu tumia vyote utaelewa

1. macho
2. masikio
3. mdomo
4. ngozi
5. pua
 
Inafikia wakati simuelewi Rais wangu Kikwete.Hawawajibishi watendaji wakosaji serikalini mwake.Anafuga ubovu.Ubovu huzaa mbovu.Eti,anawastaafisha t au kuwahamisha vitengo tu.Chukua mfano wa Mwanyika,Hosea,Jairo,Luhanjo na sasa Ikerege(Mkurugenzi Mkuu wa TBS).

Hivi,Rais wangu Kikwete anasita kwanini? Bado analinda jina lake lisichafuke ili agombee uongozi mahali fulani? Anaogopa kwakuwa vyombo vya usalama havimhakikishii ulinzi?

Nafikiri kinachompa tabu Rais kufanya uamuzi ni woga wa kuishitaki serikali na kuwalipa mamilioni fidia waathirika wa uamuzi wake wa kuwafukuza endapo watakimbilia mahakamani.

Mahakama inatoa uamuzi kwa kuomba ushahidi na vielelezo. Mambo mengi ya watuhumiwa yamekuwa yanakuzwa na vyombo vya habari bila maelezo ya kutosha. Kusema fulani ni mwizi tu au fisadi tu hakutoshi kutoa maamuzi ya kumfukuza kiongozi.

Kama ingekuwa rahisi hivyo hata baadhi ya wananchi wangeweza kufungua mashitaka dhidi ya watuhumiwa hata kama Rais hataki kuwatoa lakini bado ushahidi na vielelezo vinahitajika mahakamani.

Hata mimi ningependa Rais wangu achukue maamuzi magumu kuwaondoa lakini je, ataondoa kila kiongozi kwa tuhuma za kusikia tu au kuambiwa fulani ni fisadi.
 
Dk Slaa katuhumiwa kuiba mali ya kanisa alipokuwa katibu mkuu wa baraza la Maasikofu na anatuhumiwa kujilipa posho kubwa yeye, mkewe na yaya kwa kiasi cha 250,000 kwa siku kila mmoja, katuhumiwa kujikopesha fedha za chama na kisha kujengea nyumba binafsi kunduchi, je hizi tuhuma na nyingine zinatosha kumfukuza kazi ya ukatibu mkuu wa chadema.

Mbowe anatuhumiwa kutafuna fedha za NSSF baada ya kukopa na kudaiwa kakataa kurudisha. Je, hii inatosha kwamba hafai kuongoza chadema? Mbowe anatuhumiwa kuchukua fedha za chama na kununua nyumba dubai.

Ni nani atawawajibisha wote hawa na tuhuma zao? Ni JK.

Kama tuhuma za Dk. Slaa na Mbowe ni za bandia ni nani kasema za wengine ni za kweli?
 
Inafikia wakati simuelewi Rais wangu Kikwete.Hawawajibishi watendaji wakosaji serikalini mwake.Anafuga ubovu.Ubovu huzaa mbovu.Eti,anawastaafisha t au kuwahamisha vitengo tu.Chukua mfano wa Mwanyika,Hosea,Jairo,Luhanjo na sasa Ikerege(Mkurugenzi Mkuu wa TBS).

Hivi,Rais wangu Kikwete anasita kwanini? Bado analinda jina lake lisichafuke ili agombee uongozi mahali fulani? Anaogopa kwakuwa vyombo vya usalama havimhakikishii ulinzi?

Mkuu acha kujikomoa mwenyewe kisaikolojia. JK si mtu wa kukurupuka na maamuzi, na hiyo ndiyo sifa ya kiongozi anayejali utawala bora. Acha kulalamika. Fanyakazi kwa bidii ili usipate muda wa kufikiria hayo ambayo hayatakuletea maendeleo yoyote wewe na familia yako na taifa kwa ujumla.
 
Dk Slaa katuhumiwa kuiba mali ya kanisa alipokuwa katibu mkuu wa baraza la Maasikofu na anatuhumiwa kujilipa posho kubwa yeye, mkewe na yaya kwa kiasi cha 250,000 kwa siku kila mmoja, katuhumiwa kujikopesha fedha za chama na kisha kujengea nyumba binafsi kunduchi, je hizi tuhuma na nyingine zinatosha kumfukuza kazi ya ukatibu mkuu wa chadema.

Mbowe anatuhumiwa kutafuna fedha za NSSF baada ya kukopa na kudaiwa kakataa kurudisha. Je, hii inatosha kwamba hafai kuongoza chadema? Mbowe anatuhumiwa kuchukua fedha za chama na kununua nyumba dubai.

Ni nani atawawajibisha wote hawa na tuhuma zao? Ni JK.

Kama tuhuma za Dk. Slaa na Mbowe ni za bandia ni nani kasema za wengine ni za kweli?

heee Dr kaingiaje hapa naye ni raisi!?
 
Dk Slaa katuhumiwa kuiba mali ya kanisa alipokuwa katibu mkuu wa baraza la Maasikofu na anatuhumiwa kujilipa posho kubwa yeye, mkewe na yaya kwa kiasi cha 250,000 kwa siku kila mmoja, katuhumiwa kujikopesha fedha za chama na kisha kujengea nyumba binafsi kunduchi, je hizi tuhuma na nyingine zinatosha kumfukuza kazi ya ukatibu mkuu wa chadema.

Mbowe anatuhumiwa kutafuna fedha za NSSF baada ya kukopa na kudaiwa kakataa kurudisha. Je, hii inatosha kwamba hafai kuongoza chadema? Mbowe anatuhumiwa kuchukua fedha za chama na kununua nyumba dubai.

Ni nani atawawajibisha wote hawa na tuhuma zao? Ni JK.

Kama tuhuma za Dk. Slaa na Mbowe ni za bandia ni nani kasema za wengine ni za kweli?

Mkuu nakuongezea hapo, Mbowe anadaiwa kukarabati BILCANAS kwa fweza za Chama, JK achukue hatua?
 
Inafikia wakati simuelewi Rais wangu Kikwete.Hawawajibishi watendaji wakosaji serikalini mwake.Anafuga ubovu.Ubovu huzaa mbovu.Eti,anawastaafisha t au kuwahamisha vitengo tu.Chukua mfano wa Mwanyika,Hosea,Jairo,Luhanjo na sasa Ikerege(Mkurugenzi Mkuu wa TBS).

Hivi,Rais wangu Kikwete anasita kwanini? Bado analinda jina lake lisichafuke ili agombee uongozi mahali fulani? Anaogopa kwakuwa vyombo vya usalama havimhakikishii ulinzi?

Papara hizi ndizo wananchi wanazihofia endapo chama kisicho makini na maamuzi kama CHADEMA kitaingia madarakani kwani kinaweza kusababisha yakatokea kama yale ya TUNISIA, LIBYA na kwingine. Majungu, chuki binafsi , uchu wa madaraka haviwezi kuwa msukumo wa Rais kufukuza watu kazi.
 
heee Dr kaingiaje hapa naye ni raisi!?

Wote hao ni watuhumiwa kama wale walioko Serikalini, au hizo tuhuma za Slaa na MBowe si za msingi? JK ukimaliza fagia MBOWE na SLAA wanatumia vibaya ruzuku ambayo ni kodi za wananchi.
 
Inafikia wakati simuelewi Rais wangu Kikwete.Hawawajibishi watendaji wakosaji serikalini mwake.Anafuga ubovu.Ubovu huzaa mbovu.Eti,anawastaafisha t au kuwahamisha vitengo tu.Chukua mfano wa Mwanyika,Hosea,Jairo,Luhanjo na sasa Ikerege(Mkurugenzi Mkuu wa TBS).

Hivi,Rais wangu Kikwete anasita kwanini? Bado analinda jina lake lisichafuke ili agombee uongozi mahali fulani? Anaogopa kwakuwa vyombo vya usalama havimhakikishii ulinzi?

Hueleweki kwa kuwa huelewi mambo yalivyo:-


- Mwanyika na Luhanjo wamestaafu kisheria.

- Hosea bado ni mkurugenzi wa takukuru.

- Suala la Jairo halijaamliwa na yuko nje ya ofisi (kasimamishwa).

Ni yupi hasa unayemaanisha kuwa JK amemstafisha au kumhamisha?
 
Nafikiri kinachompa tabu Rais kufanya uamuzi ni woga wa kuishitaki serikali na kuwalipa mamilioni fidia waathirika wa uamuzi wake wa kuwafukuza endapo watakimbilia mahakamani.

Mahakama inatoa uamuzi kwa kuomba ushahidi na vielelezo. Mambo mengi ya watuhumiwa yamekuwa yanakuzwa na vyombo vya habari bila maelezo ya kutosha. Kusema fulani ni mwizi tu au fisadi tu hakutoshi kutoa maamuzi ya kumfukuza kiongozi.

Kama ingekuwa rahisi hivyo hata baadhi ya wananchi wangeweza kufungua mashitaka dhidi ya watuhumiwa hata kama Rais hataki kuwatoa lakini bado ushahidi na vielelezo vinahitajika mahakamani.

Hata mimi ningependa Rais wangu achukue maamuzi magumu kuwaondoa lakini je, ataondoa kila kiongozi kwa tuhuma za kusikia tu au kuambiwa fulani ni fisadi.

Super, Kikwete ni Raisi makini sana na a-entertain majungu na fitina, baadhi yetu tumekubuhu katika fani ya kupika majungu na kuwaharibia wengine. Siku moja niliwahi kumsikia JK akisema aliwahi kufanya makosa ya kumtimua afisa mmoja kufuatia taharifa alizo letewa na wapambe wake, baadae alifanya uchunguzi na kugunduwa kwamba taharifa zilikuwa za kuchonga tu! Watanzania tuliyo wengi tuko mahili katika fani hii; nadhani jamaa alimurudisha kazini, kwa hulka za JK atakuwa amemuomba msamaha, nafikili jamaa hakwenda mahakamani kudahi fidia; kwa mantiki hiyo mtu usitegemee kwamba JK atarudia tena makosa ya kurupuka na kuanza kuwatimuwa watu kazi kwa shinikizo la magazeti na watu wenye agenda za siri kuhusu mahasimu wao.

Once bitten twice shy, chukulia mfano wa Mkurugenzi wa TBS watu wamemsema mambo chungu mzima, mengi nafikili niya kutunga tu kutoka kwa wafanya biashara wa magari mapya/used, mimi nilishangaa kuwasikia watu wakisema magari yaletwe Tanzania hivi hivi bila kukaguliwa kwenye country of origin, eti yaje kukaguliwa TANZANIA! Hivi watu wanaoleta mapendekezo kama hayo wanakuwa wana agenda gani ya SIRI.

Leo hii nimesoma kwenye gazeti eti wafanya biashara ya Mafuta/Petrol,Diesel wanalaumu kampuni iliyo shinda tenda ya kuingiza mafuta kutoka nje kwa niaba ya Serikali eti anatia hasara taifa na haifai, sijuhi kifanyike kitu gani? Yote hiyo ni fitina tu hawataki Serikali isimamie sekta hii wanataka wafanye Cartel ya kuodhi mafuta na kufanya wapendalo as if Serikali imekwenda likizo, wanajidanganya JK yuko makini sana.
 
Hueleweki kwa kuwa huelewi mambo yalivyo:-


- Mwanyika na Luhanjo wamestaafu kisheria.

- Hosea bado ni mkurugenzi wa takukuru.

- Suala la Jairo halijaamliwa na yuko nje ya ofisi (kasimamishwa).

Ni yupi hasa unayemaanisha kuwa JK amemstafisha au kumhamisha?
Mwanyika na Luhanjo waliachwa kwa muda mrefu hadi kipindi cha kustaafu kilipofika. Technical retirement! Hosea mbona hakuguswa? Jairo naye anasimamishwaje wakati tayari yupo mrithi wake Wizarani.Read between lines Mkuu..
 
Back
Top Bottom