Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 312
Wakati tunaingia mwaka 2011 raisi ambae serikali yake imedolola sana alitoa zawadi kwa wananchi wake kwa kutekeleza sera ya chama cha CDM kwa kukubali mchakato wa kupata katiba mpya.
Je, mwaka mpya 2012 atatoa zawadi gani?
Je, mwaka mpya 2012 atatoa zawadi gani?