Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
hiyo ya kula matunda niliiona kwenye gazeti la jamhuri la juzi, na walisema JWTZ wamewachapa wako hoi wameach silaha zao. sasa kuhusu kuja kumshukuru sina uhakika nalo manake sijasoma kwenye gazeti wala habari yyte ile zaid ya hii ya Boflo
apigwe mtu, maswali na mjibu badae
habari ziwafikie dr slaa, kagame, mnyika, lema, mama banda wa malawi na jamaa wote wanaohusika popote pale walipo.
*Wananchi wamuona mkombozi,shujaa wao!
*Wabunge wa DRC kufunga safari hadi ikulu ya Magogoni kumshukuru!
*Kumuomba kichapo cha Nduli Amini kirejewe kwa Kagame!
*M23 waishi kama Ngedere kwa matunda porini!
*Ni baada ya kichapo cha masaa2 tu toka JWTZ!
*Wakimbia waacha silaha,vyakula!
*Saa 48 walizopewa kuweka silaha chini zazidi kuyoyoma!
Hata mimi napenda alichofanya JK lakini asisahau kuchukuwa madini na mbao huko kulipia gharama tunazoingia wakati wa kutekeleza jukumu letu la kuwafanya Wakongo nao waishi na kuifurahia nchi yao kama binadamu wengine.
Salamu kwa Paul Kagame na bado tutavuka mpaka kutokea DRC natuingia kutokea Ngara na Kigoma!*Wananchi wamuona mkombozi,shujaa wao!
*Wabunge wa DRC kufunga safari hadi ikulu ya Magogoni kumshukuru!
*Kumuomba kichapo cha Nduli Amini kirejewe kwa Kagame!
*M23 waishi kama Ngedere kwa matunda porini!
*Ni baada ya kichapo cha masaa2 tu toka JWTZ!
*Wakimbia waacha silaha,vyakula!
*Saa 48 walizopewa kuweka silaha chini zazidi kuyoyoma!
kumbe unaweza kuandika magazeti ya udaku.*Wananchi wamuona mkombozi,shujaa wao!
*Wabunge wa DRC kufunga safari hadi ikulu ya Magogoni kumshukuru!
*Kumuomba kichapo cha Nduli Amini kirejewe kwa Kagame!
*M23 waishi kama Ngedere kwa matunda porini!
*Ni baada ya kichapo cha masaa2 tu toka JWTZ!
*Wakimbia waacha silaha,vyakula!
*Saa 48 walizopewa kuweka silaha chini zazidi kuyoyoma!
Safi sana JK bora kujiunga na DRC kibiashara kuliko hawa mapimbi wa Rwanda.
Gazeti la Leo Alhamis 08/01/2013la Rai Nguvu ya Hoja.
*Wananchi wamuona mkombozi,shujaa wao!
*Wabunge wa DRC kufunga safari hadi ikulu ya Magogoni kumshukuru!
*Kumuomba kichapo cha Nduli Amini kirejewe kwa Kagame!
*M23 waishi kama Ngedere kwa matunda porini!
*Ni baada ya kichapo cha masaa2 tu toka JWTZ!
*Wakimbia waacha silaha,vyakula!
*Saa 48 walizopewa kuweka silaha chini zazidi kuyoyoma!
*Wananchi wamuona mkombozi,shujaa wao!
*Wabunge wa DRC kufunga safari hadi ikulu ya Magogoni kumshukuru!
*Kumuomba kichapo cha Nduli Amini kirejewe kwa Kagame!
*M23 waishi kama Ngedere kwa matunda porini!
*Ni baada ya kichapo cha masaa2 tu toka JWTZ!
*Wakimbia waacha silaha,vyakula!
*Saa 48 walizopewa kuweka silaha chini zazidi kuyoyoma!
kagame sasa alizani utani sasa yanatimia yawezekana mwisho wake ndiyo huo unaonekana unakuja,
Safi sana JK bora kujiunga na DRC kibiashara kuliko hawa mapimbi wa Rwanda.