Vipi mamaa bado una matongotongo asubuhi hii?! Mbona amemsifia? Labda huelewi tu, hizo zote ni sifa za rais wako! Au wewe ulishasikia mahali popote duniani rais anawasamehe watuhumiwa?! Wanasamehewa wafungwa siyo watuhumiwa. Huyu kawasamehe watuhumiwa na ameshindwa hadi leo kuwaweka hadharani... si wasaidizi wake walishakiri hao wezi wanaogopwa?! HIZO NDO SIFA ZAKE, TULIA ZISEMWE HADHARANI... Ila mkiona anasingiziwa mseme, siyo vizuri kumsingizia mtu ati.