andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 488
hakuna siku ninayotarajia kwamba Dr Slaa atamsifia Jk
sasa kama muandishi alimuuliza shawili hilo angejibu nini? najua yako mazuri yua JK, nadhani hayo kama lingekuwa ni Uhuru wanafanya interview ungeyapata hukoooo, sio ka mwanahalisi