JK anamaanisha nini na usemi huu

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,701
Reaction score
6,936
Katika hotuba yake ya kwanza bungeni kwenye hitimisho alisema "Najua wahisani wetu na wawekezaji, ndani na nje .... wakitaka kujiridhisha iwapo nitavijaza viatu alivyoniachia Rais wetu mpendwa wa awamu ya tatu , Benjamin William Mkapa. Nitajitahidi ingawa ni vikubwa kwangu". Je, alikuwa anamaanisha hana uwezo? Je, tusimlaumu kwa haya yote? Au ndio maana ya Mkapa jasiri? Je ukubwa wa viatu ni uzuri au ubaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…