This is very shame haiwezekani kwa jimbo la Nyamagana akaacha majukumu ya msingi kuja mwanza kulazimisha matokeo yatangazwe ndivyo sivyo kwa kutumia rasilimali za watanzania, kuna nini jimbo la nyamagana mpaka kusababisha uvunjifu wa amani ????? wote walikuwa hapa wote JK,Kinana,na Makamba wakimhaidi Wenje Ukuu wa wa wilaya na milioni 700 kwa nchi maskini ya tz kweli????!!!!!! sasa nadhani jimbo la Nyamagana ni zaidi IKULU ya magogoni