JK amteua Saada Mkuya Salum kuwa mbunge

it shows how unorganized he is!na mawaziri tutegemee kimafungumafungu hivyohivyo,babu wa kusikilizia upepo,kweli nazi kazi yake jikoni sio ofisini

Easy now Big B,bado picha kamili halijaanza.Tutachefuka leo.
 
Haya mambo ya kuteuliwa uwaziri bila confirmation ya kamati husika za bunge na bunge zima kwa ujumla ndiyo yanasababisha kupata mawaziri kama Sophia Simba!
infact hili ni tatizo kubwa la hizi teuzi......maana kila anaeteuliwa anaona kapewa ulaji na sio jukumu kwa umma....matokeo wanakua wanafanya kazi kishkaji na kulipana fadhila.......we leo mtu from no where anateuliwa...kesho anakua waziri....no vetting system...matokeo yake wengine wana under perform....kwasababu they were not prepared for this....ni kama mtu kashinda lotto yaani......au kapata madini mererani....wengi huishia ku blunder....only in TZ yaani...
 
KIKWETOMICS: HUU NI UTARATIBU MPYA NCHINI WA UENDESHAJI UCHUMI ULIOBUNIWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI KATIKA HARAKATI ZAKE KULETA UCHUMI UNAOPAA ZAIDI ANGANI

Huku nyuma duniani tuliwahi kusikia utaratibu wa uchumi unaoitwa kama
REGANOMICS na leo hii hapa hapa nyumbani kwetu kumebuniwa aina mpya ya uendeshaji uchumi bila hata ya wataalam wa mchepuo huo kushtukia kitu: KIKWETOMICS.

Huu ni mfumo mpya wa kuhamisha rasilmali zote hai na mfu kwenda ng'ambo, kuendelea kufanya utafiti angani bila kutua na kualika maswahiba wa kila aina kushiriki kula zaidi huku ajira zikigandishwa kwenye friji, wanakijiji kuwa wakimbizi katika maeneo yao na wanafunzi vyuo vikuu kuendelea kutunishiwa mikopo hewa katika kila chuo nchini.

Kama hilo halitoshi; utaratibu huu mpya wa uchumi hivi sasa inaegemea zaidi kwenye ndoto za gesi, mafuta pamoja na madini huku ukulima wa matunda na maziwa tukiagiziwa mazao yake toka kule jangwani Ghuba ya Mbali kwa kuwa wakulima wetu nchini wameonekana kuongezeka ushamba na kutostahili kupewa pembejeo wala kuboreshewa masoko.

Hiyo ndio aina ya uchumi tunayoifuta; wakati ambapo serikali haina fedha za kuletea wananchi maendeleo hapo ndio muda mwafaka wakuongezea mzigo zaidi walipakodi kwa kuitana na maswahiba kwenye karamu kula pamoja. Na hiyo ndio aina ya uchumi inayojulikana kama KIKWETOMICS.

KIKWETOMICS ya kisasa; punguza garama ya kuagiza mafuta toka ng'ambo huku ukiongezea walipakodi mzigo 100 zaidi ya faida yanayotazamiwa kupatikana kwenye kuagiza mafuta kama shehen a moja kwa taifa zima. Nguvu mpya, ari mpya na kasi mpya sasa ielekezwe zaidi kwenye kutandarua baraza kubwa zaidi la mawaziri maani hiki kipindi cha lala salama kila swahiba lazima ale kabla hatujaondoka ofisini.

Zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti.


Rais JK amemteua Bi. Saada Mkuya Salum kuwa mbunge mpya leo hii
 
KIKWETOMICS: HUU NI UTARATIBU MPYA NCHINI WA UENDESHAJI UCHUMI ULIOBUNIWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI KATIKA HARAKATI ZAKE KULETA UCHUMI UNAOPAA ZAIDI ANGANI

Huku nyuma duniani tuliwahi kusikia utaratibu wa uchumi unaoitwa kama
REGANOMICS na leo hii hapa hapa nyumbani kwetu kumebuniwa aina mpya ya uendeshaji uchumi bila hata ya wataalam wa mchepuo huo kushtukia kitu: KIKWETOMICS.

Huu ni mfumo mpya wa kuhamisha rasilmali zote hai na mfu kwenda ng'ambo, kuendelea kufanya utafiti angani bila kutua na kualika maswahiba wa kila aina kushiriki kula zaidi huku ajira zikigandishwa kwenye friji, wanakijiji kuwa wakimbizi katika maeneo yao na wanafunzi vyuo vikuu kuendelea kutunishiwa mikopo hewa katika kila chuo nchini.

Kama hilo halitoshi; utaratibu huu mpya wa uchumi hivi sasa inaegemea zaidi kwenye ndoto za gesi, mafuta pamoja na madini huku ukulima wa matunda na maziwa tukiagiziwa mazao yake toka kule jangwani Ghuba ya Mbali kwa kuwa wakulima wetu nchini wameonekana kuongezeka ushamba na kutostahili kupewa pembejeo wala kuboreshewa masoko.

Hiyo ndio aina ya uchumi tunayoifuta; wakati ambapo serikali haina fedha za kuletea wananchi maendeleo hapo ndio muda mwafaka wakuongezea mzigo zaidi walipakodi kwa kuitana na maswahiba kwenye karamu kula pamoja. Na hiyo ndio aina ya uchumi inayojulikana kama KIKWETOMICS.

KIKWETOMICS ya kisasa; punguza garama ya kuagiza mafuta toka ng'ambo huku ukiongezea walipakodi mzigo 100 zaidi ya faida yanayotazamiwa kupatikana kwenye kuagiza mafuta kama shehen a moja kwa taifa zima. Nguvu mpya, ari mpya na kasi mpya sasa ielekezwe zaidi kwenye kutandarua baraza kubwa zaidi la mawaziri maani hiki kipindi cha lala salama kila swahiba lazima ale kabla hatujaondoka ofisini.

Zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti.

Kama ndio unajifunza Ms word, kajifunzie kwenye desktop yako sio hapa JF,

Marangi yako yanaboa sana na unakula space!
 
Hongera Mwalimu Caren. Tumwombee ateuliwe kuwa waziri labda atakukumbuka kwenye bodi moja ili upate ulaji hapa mjini.

mbona tayari! Nadhani hata uteuzi ulilenga kujaza nafasi ya naibu waziri wa fedha iliyokuwa imebaki
 
Hizi ndizo akili za vijana wa kitanzania!! Na si wao tu bali wamerithi toka kwetu kama nasi tulivyorithishwa!! Sishangai, haya ndiyo yanayopelekea baadhi ya viongozi waliopewa dhamana na serikali na kuaminiwa na wananchi kupewa tuzo na nishani na viongozi wa kidini.
Hainishangazi wala sihitaji kujiuliza ni kazi gani wameyafanya kwa taasisi hizo za dini, wala haihitajiki kujiuliza sana ni kwanini nyimbo za udini zimetawala hapa na kule.
Hili ni bomu na siku likikomaa Nigeria itakuwa na afadhali. lakini kwa sababu ya "upofu" hili halitazamwi. Watu wanaoendekeza hali hii wanasahau kwamba zipo nyumba za makasisi na maaskofu ambao wana ndugu zao waislamu na vivyo hivyo zipo nyumba za masheikh wanao ndugu zao ambao ni makadinari na wachungaji. nao hawatengani katika udugu wao wala hawakwazani. Lakini sisi mbilikumtima tukiona jambo tunaona enheee hapa ndipo, tunasahau matatizo yetu yooote tunaanza kutoleana macho na maneno yasiyo na msingi je nchi hii mnahitaji wateuliwe watu mnaowataka tu ndio wawe mtakavyo?? Basi ikiwa hamjui kuona basi jifunzeni kutazama. Tanzania ni sawa na daladala wote hatutashuka kituo kimoja.
Yatupasa kukemea upuuzi huu ambao mwanzo wake walikuwa ni wakoloni wa kiingereza, na wengi wetu hakuna anaetafuta chanzo ila wanadandia na kusonga na kila wimbo unaojitokeza!!
Wote mnaoimba wimbo wa udini hamuujui udini ni nini!? nani kati yenu ambae ndugu zake wote ni wa dini yake tu?
Ipandeni mbegu hiyo na mwisho wa siku mtaivuna miba yake.
Endeleeni kupamba udini katika maeneo ya kazi na mwisho wa siku mavuno yake mtayaona...
Waacheni watu waamini watakavyo, na wacheni maneno yanayotia chuki baina yenu
Nimewasilisha.
 
SAFI SANA JK..... Nasubiri tamko la mtei!! kale kazee ni kadini... kamekichokeaje..?!
 
..mama ni kutoka Zanzibar.

..alikuwa Commisioner wa External Finance wa ZNZ.

..labda anakwenda wizara ya fedha.

Tayari ameshakuwa naibu Waziri Wizara ya Fedha Mkuu!!! Kazi ni kujuana tu, atashirikiana na Janet Mbene!!!
 
CV yake ikoje?

Ms Saada Mkuya Salum
Commissioner for External Finance
con_address.png

+255777450113
Zanzibar
Tanzania


Salum, Saada Mkuya

A research on challenges of managing foreign aid in Zanzibar Saada Mkuya Salum - Dar es salaam Open University of Tanzania 2009 - xv,78p. ill. 29cm.

Includes refences

Dewey Class. No.: EA. DIS. 338.91 SAL
 
JK kuteu tu na kuapisha ndo fahari yake. Hasumbui akili ni jinsi gani ya kutatua matizo yanayolisonga taifa hasa mfumuko wa bei,ufisadi, ajira,mishahara mibovu, kuinua uchumi unaodidimia kwa kasi wala kutafuta mbinu za kunusuru rasilimali zinavyobanduliwa na wageni. sasa kuteua kunaleta tija/ufanisi wa serikali yake au kuongeza mizigo mingine ya kuwalipa? Ama kweli Baharia.
 
Back
Top Bottom