The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,385
- 12,969
JK amegewa mbinu za maendeleo Malaysia | Send to a friend |
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#0 #12 jumbe 2011-06-21 14:00 MNAOTOA MAONI WENGI WENU MNA CHUKI NA RAIS WETU VILE NI KIPENDO CHA WANANCHI SIJAONA SIKU MOJA MKIMSIFIA- NGOJENI MWAKA 2015 AJE RAIS MKRISTO NAFIKIRI HAKUNA ATAKAYETHUBUTU KUMSEMA - SI MNAKUMBUKA MKAPA ALIPOMNYANG'ANYA PASSPORT MPENDWA WETU ALI HASSAN MWINYI ??
Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#0 #11 Michael Zunzu 2011-06-21 11:28 Wandishi wa habari wakati mwingini huwa mnakosea vichwa vya habari, ni mbinu zipi asizozifahamu Kikwete namna ya kuleta maendeleo ya nchi ambazo hazifahamu? N mbinu zipi hajazisikia, je Kwete hajawahi kwenda Malaysia na kukutana na viongozi wa nchi hiyo na kujionea walicho fanya?
Serikali inawataalamu wa kila aina na waliofuzu, ni viongozi kukosa dhamira na kuridhika na hali iliyopo kwa vile wao wako pema hapo walipo, asiyekuwa nacho kwao sicho kinachowakera mioyoni mwao.
Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#0 #10 Gabriel 2011-06-21 10:23 Kikwete na Pinda kwa kauli zao wenyewe hawajui kwa nini Tanzania ni maskini. Karibu kila mtanzania wa umri wa kufikiri anajua kinachotuasibu lakini hawa wawili la hasha. Kwa kuuliza swali hilo kikwete alitegemea apewe magic wand itakayomwezesha kusema akrakadabra na voila umaskini wetu unayeyuka. Wataalamu tunao, ardhi tunayo, siasa mbovu na uongozi mbovu vinatuponza.
Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#0 #9 Pj 2011-06-21 10:17 Asome ripot.......!!!!!!halafu safari amuachie nani???????wewe bwana weweeeee....alishasema tutakufa njaaaa akikaaa hapa.....UMESAHAU????
Quoting mandope1:
Kwa maoni yangu ni kwamba rais hakuhitajika kuuliza swali hilo. Raisi aliyetangulia Mr. Mkapa alimwajiri kwa mkataba Prof. mmoja toka malaysia na akainisha mambo mengi ya kufanya ili kuondokana na umasikini hapa kwetu. Ni juu yake kusoma ripoti ile na ripoti nyingi ambazo zimeandaliwa na watanzania. Azifanyie kazi.
Quoting nelson: KWA RAISI WETU NINAVYOMJUA ALIVYO NA MAMBO MENGI ANAWEZA KUSAHAU,NINGEPE NDEKEZA YEYE ASINGEENDA BADALA YAKE ANAGEWAAGIZA MAKATIBU WAKUU NA WAKURUGENZI .HILI SOMO LIMEFUNDISHWA NA LINAACHWA KWENYE NDEGE SIKU YA KURUDI
halafu posho amuachie nan????Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#0 #8 Pj 2011-06-21 10:09 Another POSHO DEAL,we acha tuuu
Quoting Anonymous:
Amualike Huyo Waziri Mkuu kutembelea Tanzania ili aje atoe darasa kwa viongozi wetu (Mawaziri, Makatibu wakuu, wakurugenzi .n.k)
Quote https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#+1 #7 mandope1 2011-06-21 10:08 Kwa maoni yangu ni kwamba rais hakuhitajika kuuliza swali hilo. Raisi aliyetangulia Mr. Mkapa alimwajiri kwa mkataba Prof. mmoja toka malaysia na akainisha mambo mengi ya kufanya ili kuondokana na umasikini hapa kwetu. Ni juu yake kusoma ripoti ile na ripoti nyingi ambazo zimeandaliwa na watanzania. Azifanyie kazi.
Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#+1 #6 Pj 2011-06-21 10:06 Ajabu ni kwamba FYDP.....imezinduliwa pale dodoma then mkuu wa kaya akawashukuru wabunge kabla bunge halijapitisha,, ,,,,,,,hata afundishweje hawez kutuvusha.....
Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#0 #5 Anonymous 2011-06-21 08:28 Amualike Huyo Waziri Mkuu kutembelea Tanzania ili aje atoe darasa kwa viongozi wetu (Mawaziri, Makatibu wakuu, wakurugenzi .n.k)
Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#+2 #4 ahmed00 2011-06-21 08:14 Aambiliki huyo JK, tunao wataalam wengi na wazuri sana wazawa lakini JK na serikali yake hawapendi kukosolewa.
Mfano mdogo: Suala la Posho
Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#+4 #3 Bakari 2011-06-21 07:31 Mkutano ulifaa kuhudhuliwa na maofisa wa TUME YA MIPANGO... lakini Rais hataki kuhachia per-diem!
Ukweli ni kwamba hata kama tungeudhulia mikutano mingapi, kama uongozi wa juu hauna NIA ya dhati ya kuondosha umasikini, itakuwa kazi bure. Bajeti ya juzi ina VIPAUMBELE kibao, lini tutajifunza toka kwa wenzetu? Au JK akirudi atamwambia Mkullo apunguze vipaumbele?
Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#+4 #2 nelson 2011-06-21 06:08 KWA RAISI WETU NINAVYOMJUA ALIVYO NA MAMBO MENGI ANAWEZA KUSAHAU,NINGEPE NDEKEZA YEYE ASINGEENDA BADALA YAKE ANAGEWAAGIZA MAKATIBU WAKUU NA WAKURUGENZI .HILI SOMO LIMEFUNDISHWA NA LINAACHWA KWENYE NDEGE SIKU YA KURUDI
Quote
https://www.jamiiforums.com/#https://www.jamiiforums.com/#0 #1 Mchangiaji 2011-06-21 04:00 Haya mheshimiwa Rais nadhani umejionea mwenyewe nchi amabayo ilikuwa na shida ya chakula miaka ya nyuma na Tanzania tukawasaidia. Sisi bado tunasuwa suwa na hali ngumu ya maisha, nadhani ni wakati muafaka kukubali kushirikiana na nchi kama Malaysia ambayo ilikuwa kama sisi mwanzo na wamebadilika sasa.