Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
- Thread starter
- #21
Wewe mwenyewe unajua kuwa wahafidhina ndiyo Waloharibu mchakato wa Katiba.....Watanzania acheni unafiki, hivi unakumbuka hotuba ya kikwete bungeni kwenye ufunguzi wa Bunge la Katiba???
Pale Mzee ndio alimaliza kila kitu. Raisi yule ndio alivuruga mchakato wa katiba. Ingia hata Youtube uone ile hotuba yake ndio utaelewa kwanini sisi watanzania ni wanafiki wa kuogopa duniani.
Ila yeye mwenyewe kama JK alikuwa na moyo safi ya upatikanaji wa Katiba hiyo
Siyo kama Huyu Jiwe anatamka wazi kuwa Karibu mpya siyo kipaumbele chake!
Yeye kama yeye Jiwe,hataki upatikanaji wa Katiba mpya, lakini ni matakwa ya watanzania zaidi ya milioni 50 wanaotaka Katiba mpya
Kwa hiyo hawezi kilupingana na matakwa ya wananchi waliomweka madarakani
Last edited: