Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Kuna habari hivi sasa kuwa JK amegoma kufungua jengo la CRDB shinyanga lililokarabatiwa na nyeti zinasema kuwa kuna ubadhirifu wa hisa za wananchama -- ambazo zimechotwa kinamna na -- kutokana na skandali hiyo kiasi kama zaidi ya milioni 200 zimeishia mikononi mwa wajanja wachacha na tayari afisa Ushirika mmoja yupo mbaroni.
JK yupo katika ziara mkoani Shinyanga ambapo leo anazindua shule ya msingi ya Masengwa wilaya ya Shinyanga ambayo ilianza kujengwa na wapinzani -- lakini baadaye ikatekwa na Buzwagi na makada wengine kuhakikisha kuwa inakamilika.
Kesho anazindua Savannah Plains Int Schoo ya mjumbe wa NEC Hamad Hilal ambayo nimeona walimu wazungu tupu na mtanzania mmoja tu
JK yupo katika ziara mkoani Shinyanga ambapo leo anazindua shule ya msingi ya Masengwa wilaya ya Shinyanga ambayo ilianza kujengwa na wapinzani -- lakini baadaye ikatekwa na Buzwagi na makada wengine kuhakikisha kuwa inakamilika.
Kesho anazindua Savannah Plains Int Schoo ya mjumbe wa NEC Hamad Hilal ambayo nimeona walimu wazungu tupu na mtanzania mmoja tu