AK-47
JF-Expert Member
- Nov 12, 2009
- 1,373
- 199
Habari nilizozipata hivi sasa ni kwamba Rais JK anakutana na wabunge wote wa CCM pale Ubungo Plaza. Haijajulikana kinachozungumzwa na waandishi wamezuiliwa. Tuombe mungu mmoja wa wabunge hao awe mwana JF ili japo atujuze. Mie kwa sasa uwezo wa uchunguzi wangu umeishia hapo.