bray mwamba
Member
- Oct 12, 2015
- 10
- 3
Magufuli angetia aibu kingereza kipi anacho kijua
Hapa JK akimtambulisha next president wa TZ ndugu Lowassa kwa Obama.. JK ni kama alijua Lowassa atakuwa nan.
kwa kingereza kile angeongea naye kitu gani ?
Hapa JK akimtambulisha next president wa TZ ndugu Lowassa kwa Obama.. JK ni kama alijua Lowassa atakuwa nan.
haaaa haaaaa, mkuu kitambo ulipotelea wapi??
Basi na aendelee na ujenzi tu Urais siyo size yake.Magufuli alikua ametumwa Galapo kusimamia ujenzinwa mitaro.