amilyroley
JF-Expert Member
- Jun 23, 2015
- 621
- 1,200
Hehehe Jamaa yako alikuwa anajipendekeza kwa kikwete kila mara anapopata nafasi kukaa karibu nae lazima apige picha na kuiuza kwenye Media .Kikwete akashituka ..akamkacha.Kwa Heri Lowassa ..tulikuamini ukatuibia
Magufuli hakuruhusiwa hata kumpungia mkono sembuse kumsogelea!
Magufuli hakuruhusiwa hata kumpungia mkono sembuse kumsogelea!
Magufuli hakuruhusiwa hata kumpungia mkono sembuse kumsogelea!
Magufuli angesema welcome in baghdad.
hakuwepo kwenye list ya successors imetokea bahati ya mtende tuduh mbona maghufuli haonekani?
Magufuli angesema welcome in baghdad.
Heheh hata ikulu hakuwepo alikuwa anasimamia wasafisha barabara na wafukua mitaro...
Magufuli hakuruhusiwa hata kumpungia mkono sembuse kumsogelea!