Mkuu hii ni natural instinct ambayo kila kinachoaminika ni kiumbe hai,kina kuwa na tendency au kiko oriented to MULTIPY(Binary)...Ndiyo maana hata wanyama kama mbwa,kuku,ng'ombe n.k huwa wanakipindi chao sio mara zote.Bali kile kipindi kifikapo,basi mnyama jike anatoa harufu ya kuwaashiria MAJIBABA kuwa sasa ni muda wa KUMULTLY.Kwetu sisi binadamu,kama uaminivyo ,Mungu alitupa akili na utashi ili tuamue jema na baya.Kwa wale wa Kristo, na hasa wakatoliki wanajifunza kuwa...Kuona au marriage inaenda na vitu vifuatavyo...KUTAMANIANA katika hali ya kukamilisha-COMPANIONSHIP),na KUSAIDIANA KULEA maana katika kutamaniana ndipo tunazaa,ila kuzaa siyo lengo halisi ya ndoa.Kikibwa ni companionship,maana mwaweza kuoana msipate watoto,na kanisa halivunji ndoa hiyo labda UASI halafu uitwe jina jipya na waumini wa Kanisa MZINZI...!mi nadhani lengo la ndoa ni kutimiza matamanio ya kimwili, kuendeleza kizazi/jamii,
kumpata mwenza mtakae saidiana maishani, kujistiri na uchafu wa uzinzi, kutii amri ya muumba nk.
Mkuu hii ni natural instinct ambayo kila kinachoaminika ni kiumbe hai,kina kuwa na tendency au kiko oriented to MULTIPY(Binary)...Ndiyo maana hata wanyama kama mbwa,kuku,ng'ombe n.k huwa wanakipindi chao sio mara zote.Bali kile kipindi kifikapo,basi mnyama jike anatoa harufu ya kuwaashiria MAJIBABA kuwa sasa ni muda wa KUMULTLY.Kwetu sisi binadamu,kama uaminivyo ,Mungu alitupa akili na utashi ili tuamue jema na baya.Kwa wale wa Kristo, na hasa wakatoliki wanajifunza kuwa...Kuona au marriage inaenda na vitu vifuatavyo...KUTAMANIANA katika hali ya kukamilisha-COMPANIONSHIP),na KUSAIDIANA KULEA maana katika kutamaniana ndipo tunazaa,ila kuzaa siyo lengo halisi ya ndoa.Kikibwa ni companionship,maana mwaweza kuoana msipate watoto,na kanisa halivunji ndoa hiyo labda UASI halafu uitwe jina jipya na waumini wa Kanisa MZINZI...!
marriage is an intrinsic motivation,its built in u,unapooa au kuolewa kuna uridhikaji flani unaupata,japo side effects za kisaikolojia hazikosekani......kwenye needs za binadamu ziko categorised into 5.na zote nitaelezea ndoa inahusikaje
1.physiologycal needs-ni kama njaa,kiu,usingizi na kadhalika,hapa ndoa inasaidia sana,kwani mnaweza kusaidiana kutafuta chakula,kulala pamoja na kadhalika.
2.safety needs-hapa ni all sorts of security,pamoja na afya,ukiwa na mwenzi wako,its very likely
kwamba mtajaliana,hivyo kuna umuhimu wa kulindana...."kama unampenda,utamlinda"
3.belongingness-unahitaji kupendwa na urafiki,kuwa social
4.self esteem needs,recognition-kuwa kwenye ndoa kuna hadhi yake ya kipekee
5.self actualisation-ukiwa na mke/mme inakusaidia kujitambua,kwani mwenzi wako atakukosoa katika mambo fulani na utaweza kujitambua kwamba wewe ni mtu wa aina gani
intrinsic pia ina vitu 13 ndani yake ambayo hasaa,ndo inasababisha tuonane nazo nitaziorodhesha hapa bila ya kuzielezea kwani zinaeleweka.
1.acceptance.
2.curiosity
3.eating
4.family
5.honor
6.idealism
7.independence
8.order
9.physical activity
10.power
11.romance
12.saving
13.social contact
bila shaka sasa unajua kipi kinasukuma watu waoane....hizo nilizoandika ni psychological facts