Jitoe Ufahamu, Uinjoi Mapenzi...

Hapa ndio namwelewega Jokajeusi anamaanisha nini anaposisitiza msioe wanawake wasio bikra,mimi nishaoa tayari sina jinsi ila watoto wangu nitawaambia wasio mwanamke ambaye sio bikra.
Mkuu kp umekiona kwa wife hadi usisitize watoto wasirudie makosa yako?
 
Ila mapenzi bhana daah! Yaani mtu ukipenda unakuwa ka fala fulani hivi!

Sent from my SM-A705F using JamiiForums mobile app
Mapenzi na Logic Ni vitu viwili tofauti ukiwa ni mtu wa ku- reason out katika mahusiano lazima mahusiano yakushinde ... Ajabu Ni kwamba hiki nacho kizungumza Mimi mwenyewe siwezi kuki apply
kukubali kufanywa bwege siwezi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…