Jitibu nyumbani kwako

Salahan

JF-Expert Member
Sep 10, 2014
2,942
3,602
*JITIBU NYUMBANI KWAKO*

*KIUNGULIA*


Aliyepatwa na kiungulia ale nyanya 1 asubuhi na jioni1 kitaondoka In shaa Allah

*KUZUIA KUHARISHA*


Kamua maji ya chungwa lita1
Kunywa glass1 kutwa mara 3
Kuharisha kutakata in shaa Allah

*HAMU YA KULA*


Andaa juice ya machungwa usichanganye na chochte
Kunywa glass moja siku mara3 mpk iishe
Hamu ya kula itakuja in shaa Allah

*KIDONDA SUGU(kisichosikia dawa)*


Yaponde maua ya mchungwa mpaka yawe laini kisha weka kwenye kidonda baada ya kukiosha kitapona in shaa Allah

*MAGONJWA YA NGOZI*


Osha sehemu iliyoathirika ponda maua ya mchungwa na pakaa sehemu iliyoathirka kutwa mara 2 patapona inshaa Allah

*MAPUNYE NA FANGASI*


Chukua majani laiini ya mchungwa yaponde mpk yalainike kisha pakaa palipoathirika

*VIDONDA VYA TUMBO*


Anika maganda ya parachichi mpaka yakauke vizuri
Yatwange upate unga
Chota unga huo vijiko viwili changanya na asali safi vijiko viwili kula asubuhi na jioni kwa wiki1

*NGUVU ZA KIUMENI*


vijiko3 vya unga wa parachichi
Vijiko2vya unga wa hiriki
vijiko3vya asali safi
Changanya kwenye glass1 ya maziwa kunywa asubuhi na jioni

*TUMBO LA HEDHI*


Chemsha majani ya mparachichi
Kunywa glass1 asubuhi na jioni siku7 litapona In shaa Allah

*ANAYEKOJOA KITANDANI*


Chemsha ndevu za mahindi anywe kikombe cha chai asubuhi na jioni $iku3-7

*MATATIZO YA FIGO*


Chemsha ndevu za mahindi chuja kunywa kikombe cha chai kutwa mara 3 siku 11-21

*ASIYEONA VIZURI*


Achemshe mizizi ya mahindi chuja kunywa glass1 Kutwa mara 2 kwa siku3

*MALARIA*


Chukua ndimu7,zikamue kwenye glass
Andaa glass1 ya maji ya dafu
Changanya kunywa kutwa mara2 mpk upone in shaa Allah

*KUTOA SUMU MWILINI*


Kunywa nusu glass ya maji ya.ndimu kila mwezi kwa muda wa miezi 2 sumu itaondoka mwlini in shaa Allah

_____________________________________

* DARSA HII USI EDIT CHOCHOTE, WALA USIBADIL CHOCHOTE, WALA USIWEKE JINA LAKO AU GROUP ILA TU SHARE KWA WATU UWEZAVO WAPATE FAIDA.. *
 
JITIBU NYUMBANI KWAKO

KIUNGULIA


Aliyepatwa na kiungulia ale nyanya 1 asubuhi na jioni1 kitaondoka In shaa Allah

KUZUIA KUHARISHA


Kamua maji ya chungwa lita1
Kunywa glass1 kutwa mara 3
Kuharisha kutakata in shaa Allah

HAMU YA KULA


Andaa juice ya machungwa usichanganye na chochte
Kunywa glass moja siku mara3 mpk iishe
Hamu ya kula itakuja in shaa Allah

KIDONDA SUGU(kisichosikia dawa)


Yaponde maua ya mchungwa mpaka yawe laini kisha weka kwenye kidonda baada ya kukiosha kitapona in shaa Allah

MAGONJWA YA NGOZI


Osha sehemu iliyoathirika ponda maua ya mchungwa na pakaa sehemu iliyoathirka kutwa mara 2 patapona inshaa Allah

MAPUNYE NA FANGASI


Chukua majani laiini ya mchungwa yaponde mpk yalainike kisha pakaa palipoathirika

VIDONDA VYA TUMBO


Anika maganda ya parachichi mpaka yakauke vizuri
Yatwange upate unga
Chota unga huo vijiko viwili changanya na asali safi vijiko viwili kula asubuhi na jioni kwa wiki1

NGUVU ZA KIUMENI


vijiko3 vya unga wa parachichi
Vijiko2vya unga wa hiriki
vijiko3vya asali safi
Changanya kwenye glass1 ya maziwa kunywa asubuhi na jioni

TUMBO LA HEDHI


Chemsha majani ya mparachichi
Kunywa glass1 asubuhi na jioni siku7 litapona In shaa Allah

ANAYEKOJOA KITANDANI


Chemsha ndevu za mahindi anywe kikombe cha chai asubuhi na jioni $iku3-7

MATATIZO YA FIGO


Chemsha ndevu za mahindi chuja kunywa kikombe cha chai kutwa mara 3 siku 11-21

ASIYEONA VIZURI


Achemshe mizizi ya mahindi chuja kunywa glass1 Kutwa mara 2 kwa siku3

MALARIA


Chukua ndimu7,zikamue kwenye glass
Andaa glass1 ya maji ya dafu
Changanya kunywa kutwa mara2 mpk upone in shaa Allah

KUTOA SUMU MWILINI


Kunywa nusu glass ya maji ya.ndimu kila mwezi kwa muda wa miezi 2 sumu itaondoka mwlini in shaa Allah

_____________________________________

DARSA HII USI EDIT CHOCHOTE, WALA USIBADIL CHOCHOTE, WALA USIWEKE JINA LAKO AU GROUP ILA TU SHARE KWA WATU UWEZAVO WAPATE FAIDA..
Yaani unakaa na kiungulia kuanzia asubuh mpaka jioni? Hii hapana aiseee... Angalau ungeniambia baada ya dk 20 au 30. Asubuhi mpaka jioni?

Hiyo ya machungwa. Machungwa ni matunda ya msimu. Na what if umepatwa na tatizo usiku saa 3 au 4? Hakuna mbadala?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom