wala. hata wao huko uswazi wana-struggle kupata chakula, wana-aim high nao siku moja waje kula nyama na samaki bila shida, na ndoto nyingine nyingi kama hizo za kumiliki sofa, friji, friji ya milango miwili., vitenge vya wax.... Kila mtu ana ambition sema mapana na aina ya ambition inategemea uko wapi, umezungukwa na nini, n.k.