Jirani yangu simuelewi

Ushamba ndo ulionao mkuu,kweni hapo kuna nn je angekuwa hana chupi harafu wakat anakupa funguo kamtandio alikojifunga kanadondoka na kubaki kama alivyozaliwa ungefanyaje?
 
Ushamba ndo ulionao mkuu,kweni hapo kuna nn je angekuwa hana chupi harafu wakat anakupa funguo kamtandio alikojifunga kanadondoka na kubaki kama alivyozaliwa ungefanyaje?

Ungeliwa tu hakuna namna
 
Ha ha ha . nimeichelewa hii thread . . .
We jamaa ulikua na pombe kichwani.
Hats ukinywa pombe miaka mingapi MTU ukilewa lazima akili zitakuja ma mambo mengine. We we labda subconsciously ulikuwa ukimtamani huyu dem so pombe ikarahisisha kuweka hilo akilini
 

Sasa ndio umekuja speed kiasi hiko nakunisingizia direct kwamba nlishakuwa nikimzimia asee we jamaa
 
sasa hapo ushauriwe nini mkuu?au unataka tukushauri umgegede?
 
Hahaaa..Dude!
Clever bastard! Hiyo unauwa bila kusema neno nakupenda. Why put more effort on chasing your own chicken? Mkuu nisamehe kutumia neno bastard simaanishi hivyo.
 
Reactions: BAK
Hama hiyo nyumba haraka hawa akina Eva sio wakuamin sana haswa unapokua karibu nao kwa kiasi hicho.
 
Hahaaa..Dude!
Clever bastard! Hiyo unauwa bila kusema neno nakupenda. Why put more effort on chasing your own chicken? Mkuu nisamehe kutumia neno bastard simaanishi hivyo.

I am responsible for my expenses, and you're responsible for yours. just liked it
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…