Shareef Conscious
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 522
- 343
Pombe SIO maji Aseeeh
Aiseeh, kwa hiyo nakuharibia uzi ?Aiseee hili sio chaka la kuoneshana hisia wakuu, kapumzikeni inbobo zenu huko
Ivi kubambia umeanza lini alafu unategea uzi wangu ndio upumzikie
Kwqni jirani huu si uzi wa majirani kuelezana changamoto na faida za kuwa majirani.![]()
![]()
![]()
![]()
jirani tuondoke zetu tusikwaze watu kwenye nyuzi zao
Hommie mbona umetaka kunipia upepo arifuu.sinaona vile umemvuta nawewe sijui ni jirani yako huyo manzi mkaja kupumzika endelea tu mkuu
Majirani watamu saana bwan sema haujajua kuwatumia tu wew.Sure ila kuna ukakasi kwenye kujamiiana na jirani yanani full majarib
Huyu vp kumbe ni chalii ako na mm ntaibuka tu huko mushono masai campHommie mbona umetaka kunipia upepo arifuu.
Jumapili ibuka hapa kijenge masai camp nikuvutishe wida hiyo ngata ikae niaje.
Anzisha chat ss hafu mwambie jinsi nguo alovaa zilivyochanganya brain yako....hapo ataelewa na believe me usiku huu huu unaweza mgegeda.mipia nshadata kwa jinsi ulivyoelezeaWaungwana natumai muwazima, wengi wenu naamin mmelala mida hii mwenzenu nimekosa usingizi kabisa, Ninakoishi tuko wapangaji watatu nyumba ziko tatu ndani ya uzio mmoja, Tuko mabachela wote mimi ndio dume wengine wawili ni wadada mmoja anaishi na mdogo wake mwingine anaishi peke yake, Hatuonani kirahis kulingana na ratiba za kaz zetu, Ila kama weekend wote twaweza kuwa home mida ya mchana na hapo tunapata nafas japo kusalimiana na kubadilishana mawasiliano
Kwanini nimekosa usingiz
Jana nlikuwa stressed kiasi, so baada ya kaz nlirudi home nikaoga nikatoka kwenda kulewa japo sio kawaida yangu kulewa ila nakunywa, Sasa kilichotokea nikwamba nilitoka nakuacha funguo zangu upande wa ndani wa geti nikaondoka nikiwa baaa jirani yangu akanitext kuna funguo nimezikuta getin kwa ndani nizakwako ? kujichek nikajikuta siko na funguo kweli, nikamjib yes nizangu please nihifadhie
Funguo alibaki nazo mimi nikaendelea kupombeka mpaka saa tano usiku nikarudi home, wakati naanza kuja nikamtext jirani nikifika please nifungulie geti, kweli ilikuwa hivo kufika tu hata sijapark jiran yangu kafungua get sikuamin macho yangu nahis kama pombe ilikata
Japo nilikuwa nimewasha bim light tu macho yaliweza tambua vitu vya ajabu ajabu mbele yangu, Jiran alikuwa na kinguo mithil ya khanga nazan ni part ya mtandio wa dera au kitu kama icho, ndan alikuwa na chupi tu, kwakweli nlijihis nywele kusisimka moyo kwenda mbio na kupata joto la ajabu na fraa ya ghafla
Niliingiza gari jiran akafunga gate tukasalimiana hapo akanipatia funguo zangu, kidogo nlimtania kwa kumsifia tukacheka kila mtu akaingia kulala
Wadau hapa nifanyeje maana nimeingia ndani nahis kama nina mchecheto flan amazing sijielewi elewi flan sijui ni ushamba ama laa,
Toa maoni huyu jirani nimfanyeje mdada kaumbika hatar hatar
Uhuru wa namna gani.Vipi kuusu kupoteza uhuru wako hapo ndipo penye ukakasi
Ndo maana akeUnasubiri nn sasa, ita mtu aje ndani, tia mambo! Ucha ulofa
Majirani tunapendana tu hamna kujamiiana hapaSure ila kuna ukakasi kwenye kujamiiana na jirani yanani full majarib