Jirani yangu simuelewi

Jirani yangu simuelewi

sinaona vile umemvuta nawewe sijui ni jirani yako huyo manzi mkaja kupumzika endelea tu mkuu
Hommie mbona umetaka kunipia upepo arifuu.

Jumapili ibuka hapa kijenge masai camp nikuvutishe wida hiyo ngata ikae niaje.
 
Hommie mbona umetaka kunipia upepo arifuu.

Jumapili ibuka hapa kijenge masai camp nikuvutishe wida hiyo ngata ikae niaje.
Huyu vp kumbe ni chalii ako na mm ntaibuka tu huko mushono masai camp
 
Hommie mbona umetaka kunipia upepo arifuu.

Jumapili ibuka hapa kijenge masai camp nikuvutishe wida hiyo ngata ikae niaje.

Mkuu wewe niwapande hizo ? nasikia huwa hamtaki mchezo kabisa
 
Waungwana natumai muwazima, wengi wenu naamin mmelala mida hii mwenzenu nimekosa usingizi kabisa, Ninakoishi tuko wapangaji watatu nyumba ziko tatu ndani ya uzio mmoja, Tuko mabachela wote mimi ndio dume wengine wawili ni wadada mmoja anaishi na mdogo wake mwingine anaishi peke yake, Hatuonani kirahis kulingana na ratiba za kaz zetu, Ila kama weekend wote twaweza kuwa home mida ya mchana na hapo tunapata nafas japo kusalimiana na kubadilishana mawasiliano

Kwanini nimekosa usingiz

Jana nlikuwa stressed kiasi, so baada ya kaz nlirudi home nikaoga nikatoka kwenda kulewa japo sio kawaida yangu kulewa ila nakunywa, Sasa kilichotokea nikwamba nilitoka nakuacha funguo zangu upande wa ndani wa geti nikaondoka nikiwa baaa jirani yangu akanitext kuna funguo nimezikuta getin kwa ndani nizakwako ? kujichek nikajikuta siko na funguo kweli, nikamjib yes nizangu please nihifadhie

Funguo alibaki nazo mimi nikaendelea kupombeka mpaka saa tano usiku nikarudi home, wakati naanza kuja nikamtext jirani nikifika please nifungulie geti, kweli ilikuwa hivo kufika tu hata sijapark jiran yangu kafungua get sikuamin macho yangu nahis kama pombe ilikata

Japo nilikuwa nimewasha bim light tu macho yaliweza tambua vitu vya ajabu ajabu mbele yangu, Jiran alikuwa na kinguo mithil ya khanga nazan ni part ya mtandio wa dera au kitu kama icho, ndan alikuwa na chupi tu, kwakweli nlijihis nywele kusisimka moyo kwenda mbio na kupata joto la ajabu na fraa ya ghafla

Niliingiza gari jiran akafunga gate tukasalimiana hapo akanipatia funguo zangu, kidogo nlimtania kwa kumsifia tukacheka kila mtu akaingia kulala

Wadau hapa nifanyeje maana nimeingia ndani nahis kama nina mchecheto flan amazing sijielewi elewi flan sijui ni ushamba ama laa,

Toa maoni huyu jirani nimfanyeje mdada kaumbika hatar hatar
Anzisha chat ss hafu mwambie jinsi nguo alovaa zilivyochanganya brain yako....hapo ataelewa na believe me usiku huu huu unaweza mgegeda.mipia nshadata kwa jinsi ulivyoelezea
 
Vipi kuusu kupoteza uhuru wako hapo ndipo penye ukakasi
Uhuru wa namna gani.

Si kila mtu anaingia kazini mchana. Jioni mnakutana unakula buyu.

Mamilo akija kukutembelea unajifanya haujui chochote
 
Uhuru wa namna gani.

Si kila mtu anaingia kazini mchana. Jioni mnakutana unakula buyu.

Mamilo akija kukutembelea unajifanya haujui chochote

Kuna kamkataba nilijulishwa asubuhi nahis kanaweza kakafaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom