fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,606
- 8,264
Mle tu utamaliza kila kitu,tena mle mbele na nyuma
Kanye mlangoni pake.. halafu acha ujumbe andika hivi "hii ni trela bado picha lenyewe"




mamaeeeeeJirani anakutaka huyo jiongeze mkuuWakuu habari za jioni.
Hapa ninapoishi mpangaji mwezangu ambaye ni mwanamke akikutana na girlfriend wangu anapokuja kunitembelea anamjaza maneno mabaya juu yangu. Nimchukulie hatua gani jirani wa hivi?
Ushauri wenu muhimu
Nilimkwepa ndo ananifanyia mambo kama hayoJirani anakutaka huyo jiongeze mkuu
Kanye mlangoni pake.. halafu acha ujumbe andika hivi "hii ni trela bado picha lenyewe"
MwenyeweJinga sana