Jipu Kuu

unapowaka humulika wahalifu,waovu na kuangaza bara zima la afrika kuwaona maadui. salam za mwenge ni ujumbe wa kiserikali kwa wananchi. kutambua muitikio wa watu kwa serikali, kuweka mawe ya msingi kwenye majengo ya serikali na kufungua mengine. nk
nipe mfano wa mualifu aliemulikwa na huo mwenge.

Kwanini kuna ziara za rais,waziri mkui,mawaziri na manaibu waziri kama mwenge unaweza kufikisha ujumbe wa serikali kwa wananchi na kuweka mawe ya msingi??
 
nipe mfano wa mualifu aliemulikwa na huo mwenge.

Kwanini kuna ziara za rais,waziri mkui,mawaziri na manaibu waziri kama mwenge unaweza kufikisha ujumbe wa serikali kwa wananchi na kuweka mawe ya msingi??
utakuwa hujawahi kuhudhuria mbio za mwenge, bye
 
miss chagga kashanitosa eti nimeishiwa hana maana yule
Ukiwa na pesa tuu mbio anakuja kwako ukiishiwa mbio humuoni tena
Mtoto anapenda pesa anafaa kutumbuliwa kama jipu kuu
sasa mimi na njaa zako za nini sasa aisee.nipo na lijamaa linahela
 
for 21st century sidhanii Mwenge bado una hamasa ile ile ya miaka ya 60 na 70. ni jipu tu. watafute kitu kingine sio mwenge. its role imeisha sasa imezeeka sasa !! mvuto hakuna badala yake ni shurutisho tu.
 
1.Kuhamasisha jamii juu ya kauli mbiu mbalimbali za serikali.
2.Hutumika kufungua miradi.
3.Ni ishara ya uhuru,umoja mshikamano wa taifa letu.

1. Kauli Mbiu za serikali zitakangazwe na Radio/TV inatosha.
2. Hiyo Miradi inaweza ikafunguliwa hata bila ya Mwenge, ile miradi huwekwa kwa makusudi tu ili kuwepo na kashughuli chochote cha kufanyika na viongozi pindi mwenge ukiwepo.

Mie naona zile pesa zikikusanywa kama vile zipelekwe kwenye maendeleo na huu Mwenge utimize hayo yoote si kwa kila mwaka kutembea kila nchi, bali zile sherehe za KITAIFA au maadhimisho ya kitafa yanapofanyika kitaifa mkoa Fulani basi na mwenge utakuwepo hapo. kwahiyo kama sikukuu za kitaifa ziko 10 basi kwa mwaka mikoa 10 itatembelewa na mwenge kulingana na zile sikukuu za kitaifa kuangukia mkoa husika.
 
Very true,, sioni maana ya hii kitu kabisa... "MBIO ZA MWENGE"?? Mnakimbia mnaenda wap sasa, eti kuzindua miradi ya maendeleo? Kuna baadhi ya miradi I blv ina gharama ndogo kuliko cost zinazotumika kukimbiza huo mwenge all over the country!! Embu tuache kupoteza muda na fedha wa'TZ... Hopeful uncle Magu atafanya kitu kuhusu hili Jipu!!
 
Umulike mpaka Nje ya mipaka yetu,

Uleteee tumaini.

Pale ambapo Hakuna matumaini(UPENDO)

UPENDO mahali ambapo panachuki Na heshimaa ambapo pamejaa dharau!

Sisi tumekwisha uwasha mwenge
(Tumekwisha uwashaa mweeenge)

Na kuuweka juu ya mlima
(Mlimaa Kilimanjaro)

Kuwasha mwenge
(Kuwasha mwenge)

Kuwasha mwenge
(Kuwasha mwenge)

Na kuuwekaa kilimanjaroooo.
 
Kwani hamkusoma ile thread ya chanzo cha mwenge? ni mambo ya kishirikina inasemekana
Kweli kabisa, hata mimi nimeshasikia hivyo, inasemekana mwenge huo ni miungu ambayo lengo lake ni kuwafanya watu kila unapopita wawe wajinga wajinga tu. Umejaa imani za ushirikina mwingi sana ndio maana hatusongi mbele.
 
1.Kuhamasisha jamii juu ya kauli mbiu mbalimbali za serikali.
2.Hutumika kufungua miradi.
3.Ni ishara ya uhuru,umoja mshikamano wa taifa letu.

mwaka jana ulipita hapa Tanga kuzindua chuo
 
Sijawahi elewa umuhimu wa hilo dubwasha kwakweli.
 
Ni mojawapo ya miungu. Ni mambo ya rohoni zaidi kwa akili za kawaida ni ngumu kuelewa maana yake.
Ingawa mimi siungi mkono ibada za miungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…