Jipatie majeneza ya kisasa

Mbwa dume

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
6,289
Reaction score
10,991
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum

Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Kwa mteja aliyepo Dodoma atapata huduma ya kusafirishiwa mzigo mpaka mlangoni.
Pia tunatoa huduma ya kujenga na kukarabati makaburi kwa material za kisasa kabisa.!






Karibuni sana kwa huduma nzuri na bei nafuu.
Nb: nimeshindwa kuweka no ya simu kwa kuepuka usumbufu
(kwa wale wazee wa kutukana) hivyo ndugu mteja uliye serious njoo pm nikupe mawasiliano yangu.

Samahani ikiwa kuna mtu nimemkwaza kwa namna moja ama nyingine (ieleweke kuwa hii ni huduma kama zilivyo huduma nyingine) karibuni sana.
 
Bei zako zikoje
Weka bei mazeee

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…