kwa kanyumba ka 15090mm X 11200mm itanihitaji bati ngapi hapa hizi za migongo mipana? roughly?usafiri juu yako bati ya Alaf migongo mipana 28G bei 15340 per meter...discount ipo ikichukua kuanzia meter 300.
hilo ni godown? maana 15090mm ni 150.9M ambayo ni kiwanja cha mpira kimoja na nusu ! au sijui hesabu za "kofia huuzwa dukani mwa daud cent mia"?kwa kanyumba ka 15090mm X 11200mm itanihitaji bati ngapi hapa hizi za migongo mipana? roughly?
uwe unaweka na picha tujue maana unataja vigae versatile wengine hatuvihamu mpaka tuvione. Nyumba yangu ina vyumba vinne vya kulala, siting room, dining na store kwa kukadiria zinaweza kuingia bati mita miangapi ili nijipange mapema
Akikujibu unistue, pia muulize simba dumu bati za kawaida rangi ya kijani ni sh ngapiMkuu naomba kujua bei za bati za kawaida ila za rangi ya bluu kampuni ya Alaf ni sh ngapi kwa bati futi 3
hilo ni godown? maana 15090mm ni 150.9M ambayo ni kiwanja cha mpira kimoja na nusu ! au sijui hesabu za "kofia huuzwa dukani mwa daud cent mia"?
Wewe ndio umekosea 1M =1000mm. Kwa hiyo 15090mm = 15M ambayo ni kipimo cha kawaida kabisa.hilo ni godown? maana 15090mm ni 150.9M ambayo ni kiwanja cha mpira kimoja na nusu ! au sijui hesabu za "kofia huuzwa dukani mwa daud cent mia"?
Bando shiringi ngapi?Agent wa kuuza bati za rangi na kawaida bati zetu zinatoka kampuni zifuatazo ALAF, DRAGON NA AFR-INA UNITED, Bei ni nzuri tupo buguruni chama or call 071328360 or 0718926320
hilo ni godown? maana 15090mm ni 150.9M ambayo ni kiwanja cha mpira kimoja na nusu ! au sijui hesabu za "kofia huuzwa dukani mwa daud cent mia"?
Kwa heshima kubwa napenda kuuamsha huu mjadala!!! Karibuni nyote!!
Mkuu! Huko ulikotokea hujamuona huyu jamaa mwenye thread hii? Kama ukimuona Mwambie kuna wateja wamezaliwa huku!twende kazi mkuu