Jipatie laptop kwa laki mbili tu

Jipatie laptop kwa laki mbili tu

sio zile unazoweka kwenye chaji zinachemka kama heater unakuwa huwezi kuiweka miguuni
 
🙁🙁🙁🙁🙁🙁. Mpya bei hiyo kimbia watakuwa CIA wanataka kukufuatilia mkuu
Hahahaaaaa umeniacha hoi ndugu yangu, huo ni mtumba mkuu from U.S.A ingia google andika mim bytspeed utaona
 
laptop min bytspeed
SIFA ZAKE;
- HARD DISK 80GB
- RAM 2GB
-PROCESSOR 1.60GHZ
-NI TOUCH SCREEN
-NI SCREEN ROTATE
-INA WEB CAMERA
-INAKAA NA CHAJI MASAA 8
BEI Tsh 250,000/= tu.
Kwa maelezo zaidi, picha
nichek kwa 0623554361.
POPOTE ULIPO NDANI YA TANZANIA TUTAKUHUDUMIA
KARIBUNI
IMG_20171110_094910.jpeg
IMG_20171106_164731.jpeg
IMG_20171106_165109.jpeg
IMG_20171106_164637.jpeg
IMG_20171106_114306.jpeg
 
Back
Top Bottom