Jipatie kuku wa kienyeji,bata, asali

Jipatie kuku wa kienyeji,bata, asali

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,152
Reaction score
43,109
Wakuu!

Jipatieni Kuku, Asali,bata, Njiwa,Kanga,mayai ya kuku wa kienyeji

Kuku
Hawa ni kuku wa kienyeji wapo wakubwa na saizi ya kati utaletewa popote ulipo ndani ya jiji la Dar es salaam

Asali
Inatoka Tabora na Shinyanga, ni ya nyuki wakubwa na wadogo. Haijachanganywa na kitu chochote na haijapikwa. Tunauza kuanzia lita moja na kuendelea.. utaletewa popote ulipo.

Bata
Unapata wakubwa na wadogo

Mayai ya kuku wa kienyeji
yanapatikana kwa tray moja na kuendelea, utaletewa popote ulipo.

Tray moja ni sh 20,000

Kuku jogoo mkubwa ni sh 20,000 inashuka mpaka sh 15,000
Mtetea (jike) ni sh 16,000 inashuka mpaka 12,000

Asali mbichi nyuki wakubwa lita moja ni sh 13,000
Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja ni sh 40,000

Bata mkubwa jike ni sh 24,000
bata mkubwa dume ni sh 26,000

Mawasiliano
: Arafat- 0717562309, Bora- 0713431445 na Frank Manyanza- 0712800616
 
nataka yai moja niko huku kisarawe naomba mniletee tafadhari!
 
Wekeni bei,hii biashara ya kusema bei mtaongea ndio kitu gani sasa,achaeni kufanya biashara ya kubahatisha bana.
 
asante mkuu kwa kejeli, The great thinker:biggrin:
ungekuwa realist Manyanza ukisema utaletewa bila kusema minimum quantity ndo inakuwa hivyo!!biashara ni faida hivyo unaangalia faida unayo itaka then unasema ukihitaji kadhaa utaletewa!!sasa kama mtu anataka kuku mmoja akakwambia niletee mbezi nawewe unaishi majohe!!
 
Last edited by a moderator:
ungekuwa realist Manyanza ukisema utaletewa bila kusema minimum quantity ndo inakuwa hivyo!!biashara ni faida hivyo unaangalia faida unayo itaka then unasema ukihitaji kadhaa utaletewa!!sasa kama mtu anataka kuku mmoja akakwambia niletee mbezi nawewe unaishi majohe!!

noted with thanks, ndio naanza mkuu so lazima nijipange nikikua nitaangalia na sehemu zenye uhitaji mkubwa ili niweke kituo
 
Wekeni bei,hii biashara ya kusema bei mtaongea ndio kitu gani sasa,achaeni kufanya biashara ya kubahatisha bana.

Mkuu unaweza kupiga simu namba nimeziweka hapo kwenye post ya kwanza hapo juu au unaweza kuniandikia Private message nafanya hivyo kwa watu wengi wanotaka bei
 
Huku kuficha bei kunaweza kukukosesha wateja ndugu yangu.
 
weka bei mkuu, itatuwia rahisi ili mtu akupigie akijua gharama ya kitu anachokihitaji.
 
Mkuu weka bei ya chini na ya juu!
Kwa mfano waweza sema bei inaanzia 10,000-15,000!
 
Shida yetu waswahili ni kwenye bei. Mbona unafanya siri? Weka bei hapa watu wajue ili kuokoa gharama na muda wako na wa mteja. Kwa mfano sema mayai ni shs 15,000 kwa tray, asali 10,000 kwa lita etc. Hiyo itaondoa usumbufu na kumjibu kwa pm kila anayeuliza. Kama bei zako ni reasonable, you have nothing to fear mkuu.
 
Shida yetu waswahili ni kwenye bei. Mbona unafanya siri? Weka bei hapa watu wajue ili kuokoa gharama na muda wako na wa mteja. Kwa mfano sema mayai ni shs 15,000 kwa tray, asali 10,000 kwa lita etc. Hiyo itaondoa usumbufu na kumjibu kwa pm kila anayeuliza. Kama bei zako ni reasonable, you have nothing to fear mkuu.

Tray moja ni sh 20,000

Kuku jogoo mkubwa ni sh 20,000 inashuka mpaka sh 15,000
Mtetea (jike) ni sh 16,000 inashuka mpaka 12,000

Asali mbichi nyuki wakubwa lita moja ni sh 13,000
Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja ni sh 40,000

Bata mkubwa jike ni sh 24,000
bata mkubwa dume ni sh 26,000
 
Mkuu, weka bei ya asali kwa lita moja , how much?
hili soko huru ndugu yangu usifiche bei.

Asali mbichi nyuki wakubwa lita moja ni sh 13,000
Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja ni sh 40,000
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom