Jipatie: Kitabu cha dua na mafanikio ya ukweli

Jipatie: Kitabu cha dua na mafanikio ya ukweli

HAYA NINATOWA OFFER YA FAIDA YA KITABU JIFUNZE NAMNA YA KUTUMIA KWA DUA HII HAPA:

KUMRUDISHA MPENZI ALIYEKUACHA KWA
KUTUMIA MSHUMAA


View attachment 166150

TUMIENI HII DUA KISHA MUJE MUNIPE FEEDBACK. Unaweza kuwasiliana na mimi kwa njia ya Email Baruwa ya Pepe email yangu Address hii hapa fewgoodman@hotmail.com Mkuu Pasco upo
Mkuu Mzizi Mkavu, nipo sana tuu, na hii ni ukweli, tatizo ni matumizi ya nguvu za nani zinazotumika kumrudisha huyo mpenzi!, kwa sisi Wakristu wa kileo, dua yoyote ya inayuhusisha moto ni nguvu za giza!. Matumizi ya mshumaa ni kumtuma shetani, jini au pepo kwenda kumrudisha huyo mpenzi!. Matumizi ya sindano ni nguvu za kichawi kuuchoma moyo wa huyo mpenzi na kumlazimisha kubadilika, hii inafanywa sana visiwa vya Haiti, Papua Ne Gine na Central America inaitwa Voodoo na wanaiamini inaitwa Voodooism!, ni mambo ya kishetani tuu!.

Kwa wale mlionisoma hapa [h=3]Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo ila hawajitambui!. Hapo hakuna lolote linalofanywa na huo wala hiyo sindani, its all works of powers,[/h]
its just the work of powers from within, kinachomrudisha huyo mpenzi ni nia ya dhati uliyoinuizia na kuielekeza kwa mpenzi. Unaweza kuweka nia na kuilekeza sio tuu kumrudisha mpenzi bali kupata chochote unachotaka, nyumba nzuri, gari nzuri, kazi nzuri, pesa nzuri, mpenzi/mke mzuri etc!.

Kwenye uzi wangu ule nimeeleza kila kitu!, huna haja ya kutumia chochote, wala kwenda kwa yeyote, the powers is inside you!, ni wewe tuu kujua namna ya kuzifungua na kuzitumia!.

Cheers!.

Pasco
 
Mtume muhammad Rehema za Allah ziwe juu yake anasema kuwa ukitaka kumkosoa mwenzako angalia makosa yako je wewe huna makosa? ndio umkosoe mwenzangu: Jiangalie wewe kwanza umekamilika? kisha uje unikosoe mimi. Nimesema hata Muislam akitaka anaweza kutumia ni Dua zinazotoka ndani ya Biblia Taurati ikiwa wewe huiamini Biblia (Taurati) mimi ninaiamini hatuzungumzii mambo ya Dini kuna vitabu vingi vya dini vya Dua nenda kavipinge huko usije hapa kuniharibia siku zangu. Mimi pia muislam na ninatumia hiki kitabu kwa faida zangu uislam ni vitendo vyako sio maneno yako. kalale huko tafadhali usilete hapa U Answari suna nyie ndio mnaofanya Dini kuwa ni ngumu . Angalia kwenye magazeti amerika mwanamke anawasalisha wanaumme ingelikuwa huko bongo ninafikiri huyo mwanamke mungesha muuwa nyie waislam wa bongo kwa sababu hamna elimu ya dini ya kutosha. Mimi sijaweka Tunguli wala hirizi acha maneno yako machafu hayo.

Nina mashaka na uislamu wako,usifanye mambo kwa kukurupuka ndugu yangu hata kama pesa unatafuta basi usijitoe fahamu kiasi hicho.
Usihalishe jambo kwa faida yako binafsi.
 
Mkuu Mzizi Mkavu, nipo sana tuu, na hii ni ukweli, tatizo ni matumizi ya nguvu za nani zinazotumika kumrudisha huyo mpenzi!, kwa sisi Wakristu wa kileo, dua yoyote ya inayuhusisha moto ni nguvu za giza!. Matumizi ya mshumaa ni kumtuma shetani, jini au pepo kwenda kumrudisha huyo mpenzi!. Matumizi ya sindano ni nguvu za kichawi kuuchoma moyo wa huyo mpenzi na kumlazimisha kubadilika, hii inafanywa sana visiwa vya Haiti, Papua Ne Gine na Central America inaitwa Voodoo na wanaiamini inaitwa Voodooism!, ni mambo ya kishetani tuu!.

Kwa wale mlionisoma hapa Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanazo ila hawajitambui!. Hapo hakuna lolote linalofanywa na huo wala hiyo sindani, its all works of powers,


its just the work of powers from within, kinachomrudisha huyo mpenzi ni nia ya dhati uliyoinuizia na kuielekeza kwa mpenzi. Unaweza kuweka nia na kuilekeza sio tuu kumrudisha mpenzi bali kupata chochote unachotaka, nyumba nzuri, gari nzuri, kazi nzuri, pesa nzuri, mpenzi/mke mzuri etc!.

Kwenye uzi wangu ule nimeeleza kila kitu!, huna haja ya kutumia chochote, wala kwenda kwa yeyote, the powers is inside you!, ni wewe tuu kujua namna ya kuzifungua na kuzitumia!.

Cheers!.

Pasco
Hii kuna mahali nimepata lakini katika maombi kwa kutumia Mshumaa hakuna sindano ni kuwasha tu mshumaaa kama wanavyo washa watu huko makanisani na kuomba Mungu kwa kutumia baadhi ya aya za Biblia . Hakuna cha sindano walal nini hiyo ni mifano wanayotumia watu wengine haswa wazungu. Soma hapo juu Thread yangu.
 
iyo biblia inayoongelea uchawi ni yako na mkeo
Kwa akili zako wewe kule kanisani kunawashwa mishumaa mingi ni ya bure tu pasipo na maombi maalumu? Nakila unapo kwenda kanisani unaikuta mishumaa ipo teyari inakuwa imeshafanyiwa maombi wewe kazi yako ni kununuwa na kuiwasha sasa mimi ninakufundisha dua kwa kutumia mishumaa unafananisha na mambo ya uchawi?

Wewe unaujuwa uchawi kuliko wale wanaowasha mishumaa makanisani kwa kutumia dua ya mishumaa? Unafikiri mishumaa inawashwa Makanisani bure tu? Amka ndugu acha usingiz soma na tembea ndipo utakapo juwa kutembea peke yake ni elimu tosha kuliko huko kusoma.
 
Nina mashaka na uislamu wako,usifanye mambo kwa kukurupuka ndugu yangu hata kama pesa unatafuta basi usijitoe fahamu kiasi hicho.
Usihalalishe jambo kwa faida yako binafsi.
 
Kwa sababu wengine wanatumia albadir wewe imekuwa ruksa kufanya uchawi kwa mshumaa? Albadir na unayofanya ww wote njia moja ya batili...!
Thread hii inakuchora vibaya kiasi najiuliza ni kweli uyaongeayo yanayoka akilini...?
 
Mi Cjaelewa Kitu.. Napita Tu.. MziziMkavu Leo Wamedisa Mi Simo.... Wanataka Wageuze MziziMkavu Uwe MziziMbichi
 
Ila Kiukweli Hapo Kati Sio Kazi Ya Throat Chakra The Word n voice Power No.. Theres Spirits Which Comes N Guarantee Your Wish.. Kitumie Lakini Jua Unasaidiwa Na Spirit/pepo Kukupa Utakacho...

"Remember When You Make A Deal With Spirit Theres A Price To Pay It"

#Rakims
 
Mkuu Rakims Vijana wasomi wa zama hizi wengi wao ni watu wabishi na hiyo inatokana na upungufu wa elimu mashuleni ndio maana Serikali iliwahi hata kutaka kuweka Division Five kwa sababu ya mfumo wa elimu nchini Tanzania umeshuka sana wengi wao wanafunzi hawajuwi kusoma wala kuandika ndio maana tunajaribu kuapambana nao ki elimu.

Kitabu ninacho na bei ndiyo hiyo hiyo Mkuu ukitaka waweza kuwasiliana na mimi bonyeza hapa.Mawasiliano

Ni shida kuwa na akaunti zaidi ya moja Mr. Foundation unajiuliza na kujijibu mwenyewe lol!
 
Last edited by a moderator:
Kitabu ninacho na bei ndiyo hiyo hiyo Mkuu ukitaka waweza kuwasiliana na mimi bonyeza hapa.Mawasiliano

Nitawasiliana na wewe[/QUOTE]Hakuna wasiwasi mkuu tutazidi kuwasiliana Foundation

Ila Kiukweli Hapo Kati Sio Kazi Ya Throat Chakra The Word n voice Power No.. Theres Spirits Which Comes N Guarantee Your Wish.. Kitumie Lakini Jua Unasaidiwa Na Spirit/pepo Kukupa Utakacho...

"Remember When You Make A Deal With Spirit Theres A Price To Pay It"

#Rakims
Hakuna cha Spirit wala nini mimi mwenyewe ninakitumia hicho kitabu na kinanisaidia kwa mambo yako ninayo yataka na wala situmii Spirit nina muomba Mungu kwa kupitia maombi ya ndani ya kitabu cha CANDLE BURNING RITUALS na hakuna wasiwasi ninafanikiwa ninayo yataka.@Rakims
 
Kuna maombi kwa kutumia njia nyingi kuna wengine wanatumia Alalbadri kuwauwa watu sio mambo ya uchawi huo ? dua zipo njia nyingi ili mradi usimshirikishe Mungu tu. Mimi Dua yangu ninatumia kwa kupitia kitabu cha Zaburi (Psalm)

Psalm 23


King James Version (KJV)

23 The Lord is my shepherd; I shall not want.

2
He maketh me to lie down in green pastures: he leadeth me beside the still waters.

3
He restoreth my soul: he leadeth me in the paths of righteousness for his name's sake.

4
Yea, though I walk through the valley of the shadow of death, I will fear no evil: for thou art with me; thy rod and thy staff they comfort me.

5
Thou preparest a table before me in the presence of mine enemies: thou anointest my head with oil; my cup runneth over.

6
Surely goodness and mercy shall follow me all the days of my life: and I will dwell in the house of the Lord for ever.

MAANA YAKE KWA KISWAHILI:

Zaburi, Chapter 23


23:1 Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.


23:2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.


23:3 Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.


23:4 Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.


23:5 Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.


23:6 Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.




sasa wewe kama hupendi Thread yangu bora uisome na kunyamaza hakuna haja ya wewe kuchangia humu kwenye

Thread yangu. hukulazimishwa chochote na wala haitokusaidia kitu waache watu wenye kuamini watanitafuta kwa

wakati wao. Niache na imani yangu na wewe ukae na imani yako. Kila mtu ana dini yake Mlipaji ni yeye mwenyee

[size=+2]Mwenyeezi Mungu usinihukumu usije na wewe kuhukumiwa tafadhali.
[/SIZE]

Dalili za kuchanganyikiwa!
 
Mtume muhammad Rehema za Allah ziwe juu yake anasema kuwa ukitaka kumkosoa mwenzako angalia makosa yako je wewe huna makosa? ndio umkosoe mwenzangu: Jiangalie wewe kwanza umekamilika? kisha uje unikosoe mimi. Nimesema hata Muislam akitaka anaweza kutumia ni Dua zinazotoka ndani ya Biblia Taurati ikiwa wewe huiamini Biblia (Taurati) mimi ninaiamini hatuzungumzii mambo ya Dini kuna vitabu vingi vya dini vya Dua nenda kavipinge huko usije hapa kuniharibia siku zangu.

Mimi pia muislam na ninatumia hiki kitabu kwa faida zangu uislam ni vitendo vyako sio maneno yako. kalale huko tafadhali usilete hapa U Answari suna nyie ndio mnaofanya Dini kuwa ni ngumu . Angalia kwenye magazeti amerika mwanamke anawasalisha wanaumme ingelikuwa huko bongo ninafikiri huyo mwanamke mungesha muuwa nyie waislam wa bongo kwa sababu hamna elimu ya dini ya kutosha. Mimi sijaweka Tunguli wala hirizi acha maneno yako machafu hayo.

Unafanya biashara kisha una kuwa mkali kweli kweli. Biashara aiendi hivyo ndugu!
 
Back
Top Bottom