Jioneeni kazi ya Great Thinker hapa chini...

Jioneeni kazi ya Great Thinker hapa chini...

Kwa hakika maandishi yake kisarufi ya kiswahili yamekaa tenge, kuna makosa, lakini pamoja na hayo, jamaa ana hoja yenye mashiko na hasa anapoisema jamii yetu kuogopa kuhoji mambo ya msingi na ngojera za amani na utulivu bila kutanguliza HAKI mbele.
yote kwa yote, kujua kusoma na kuandika hakumfanyi mmoja kuwa GT, wapo watu ambao hawakujua kusoma na kuandika lakini wamekuwa na maono makubwa na yanayoisaidia jamii yetu hadi leo, kifupi hapa unaweza kupata mawazo mazuri yanayojenga toka kwa mtu asiyejua kuandika wala kusoma. Nimpongeze mdau kwa angalau kuandika alichoandika na nina hakika hakihusiana na kabila
 
Wewe bwana we..unawafahamu hao unaowaita Waman'gati? Acha prejudice zako, kwanza hawaitwi hivyo wanaitwa Wadatoga na pili Kiwahili chao hakifanani hivyo kwani wao si owabantu kama wewena wengine wasiojua kutofautia sound "ra" na "la". Pia kudharau watu ni kitu kibaya sana, it is an offence....heshimu watu na wewe utaheshimiwa..

Seno...umenipa msamiati mwingine ''wadatoga''..nilikuwa sijui hii...ila ujumbe umefika dada!!Ila sidhani kama kutaja kabila ni kudharau!!
 
Sijui ni haraka au hasira au vipi.Lakini kaeleweka.
 
Originally Posted by Mufiyakicheko

amani&utulivu ingawa viongozi wengi wanahubili amani ni unafiki huwezi ukasema kunaamani watanzania wachache wanaishi maisha yaanasa wengi maisha ya dhiki wanakufa kwamalelya mlo mmoja kwasiku wanakosa elim hukuwachache wanapeleka watoto wawo ulaya tanzania tunautulivu si amani hawa wengi wakitambuwa hakizawo zamsingi amani hi yakinafiki itapotea wote tunataka amani watawara msituibie kwakisingizio cha amani mtuakisema uozo wenu mnakimbilia anatakakuvuluga amani..

Hiki ndio kiswahili gani ??

mufiyakicheko yukowap tumuulize?? manake hakuna koma, wala nukta.
hakuna aya wala maneno hayajatengwa. kaaaa!
 
Originally Posted by Mufiyakicheko

ccm wanafiki ukiwa mchapa kazi mzuli hawakutaki wanataka mafisadi tido kaibolesha tbc ametimuliwa wamewapachika watoto wa shangazi zawo
 
Originally Posted by Mufiyakicheko

Ipo siku huko kuchakachuwa kutawatokea puwani dawa ya watumishi wetu nikuandamana bira maandamano hakieleweki
 
nazani ariyeposti sledi arikuwana huchungukweri ndo manahata ruga ariyotumiha inahonyesha arikuwa anahandika huku hakitetemeka kwa asila hawa vihongoziwetu wanawezakukusababishiya upate pleshakwa zuruma nahufisadi wanaotufanyiya.
 
Mkuu sinziga,

Hapa jamvini kuna watu kutoka kote duniani kuna watanzania wasiojua kiswahili hata kidogo simply wamekulia njee so wanajifunza kile cha kizungu ndio maana unaona kiswahili cha hivyo. Pia kuna wale walizoea kuogea tu sio kuandika kwa hiyo tegemea hivyo.

Pia kumbuka kuna ndugu zetu dada/kaka zetu wamechanganya damu na majiranizetu ambao kiswahili chao si kizuri kiivyo. Mfano mimi nipo hapa Nairobi kiswahili chao its terrible hata watangazaji huwezi amini.... tusimseme sana ilimradi kafikisha ujumbe aliokusudia na hiyo ndio maana ya communication
 
Back
Top Bottom