Mayele Ana Style Tamu Sana Ya Kushangilia Ni Ngumu Kujizuia Kutoipenda Kwakweli Japo Kuna Watu Wanajifanya Wanakaza Hawaipendi Eti, Wanakwambia Ni Upotezaji Wa Muda Uwanjani Lakini Wakiwa Bafuni Pekeyao Huko Wanaifanya
..Siwashangai Baadhi Ya Mashabiki Wa Simba Kuipenda Style Ile Na Kuonesha Wazi Kwamba Wanaipenda... Kudos Mayele!