Blaine
JF-Expert Member
- Jan 11, 2012
- 2,275
- 1,655
mama nlikuona juzi umefungasha kikapu nyuma au nlikufananisha? lolKinachomfanya mtu kuwa mwanamke ama mwanaume ni reproductive organs, period! Hayo mengine kama hormones na shape (makalio na manyonyo) ni majaaliwa. Hormones zinaweza kuathirika na kuwa manipulated to normal levels.
Na reproductive system sio ya nje, ni ile ya ndani. Kama vagina na penis vinaweza kutengenezwa kwa surgery, lakini uterus na epidydimis hazitengenezeki nadhani (sina hakika na success story yoyote).
Mwisho wa siku sie wenye tunyonyo kama amblyoma (kupe wa kienyeji) na flat screen kwa nyuma msije mkatukatalia kuwa sio wanawake, tafadhali sana!
Haipo. one will be dominant so ataiondoa the other onekama ana 2.Atakuwa na uwezo wa ku bleed (MC), Uume wake unasifa kama za kwetu (erect/ejaculate)?