Jinsi ya kuzuia kuwaza tendo

Jinsi ya kuzuia kuwaza tendo

Tumbili in town

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2025
Posts
422
Reaction score
686
Habari, Kwa anaefahamu namna au tiba ya kuzuia kuwaza tendo, maana nashindwa kufikiria mengine Kila mda ni tendo tu
 
Yeah kila jioni nakimbia 2KM na mazoezi ya viungo, nikitoka hapo ni kuoga na kulala tu , Asubuhi nikikurupuka naenda kazini huko stori nyingi na mishe kibao, ila ukikaa idle tu huwezi kuacha kuwaza ngono kila saa.
 
Hauwezi zuia nguvu fulani Ila unaweza kuhamisha nguvu hiyo katika jambo lingine .

Mfano unachofanya unachukua lusting thoughts unaigeuza inakuwa productive thoughts.
 
Aisee na mimi nina hiyo changamoto, nasubiri wajuvi wa mambo watoe ushauri. Mana ukikaa ndani shida na ukitoka ndio kabisaa.
 
Hauwezi zuia nguvu fulani Ila unaweza kuhamisha nguvu hiyo katika jambo lingine .

Mfano unachofanya unachukua lusting thoughts unaigeuza inakuwa productive thoughts.
Ina make sense, hii positive energy.. sasa namna ya kuitransform ndo kasheshe!
 
Uzuri wake ww n mwafrica. Penda tabia yako qmanina. Kikubwa usivunje sheria za nchi
 
Back
Top Bottom